Hii Ndiyo Safari ya Muziki ya Producer King Lufa Aliyetengeneza 'Bilima' ya Nuh Mziwanda
UMEWAHI kuinyaka hii mtu wangu wa dhahabu? Kama wewe ni mfuatiliaji wa tasnia ya muziki wa Bongo Fleva, lazima utakuwa umeshawahi kulikisia jina la Producer King Rufa. Global TV Online imepiga stori na Producer King Rufa ambaye alizaliwa na kukulia Arusha kisha kuibukia Dar katika harakati za kusaka maisha na mkwanja kwa ujumla. Rufa ameanika maisha halisi aliyoanza nayo wakati anajifunza u-producer akieleza kuwa alianzia gheto mkoani Arusha akiwa na laptop yake na speakers za kawaida bila monitor speakers, hapo ndipo alianza kutengeneza bits mwenyewe wakati alipotoka shule. Baadaye ndipo aliamua kukimbilia Dar ili kufanya mchakato wa kukuza zaidi kipaji chake ili afikie ndoto zake. Pamoja na hayo alifanikiwa kukutana na msanii Quick Rocka ambaye naye ni producer mkali tu Bongo, hivyo alimsaidia kumuingiza switch records kunoa kipaji chake. Kazi yake ya kwanza anasema ilikuwa ni 'Bilima' ya Nuh Mziwanda, huku akieleza kuwa mtu aliyemvutia kuingia kwenye tasnia ya u-producer ni Producer Majani. Nisikusimulie kila kitu PLAY video umsikie mwenyewe akifunguka.

EXCLUSIVE: PRODUCER MOKO KAFUNGUKA YA YEYE ALIKIBA, ZUCHU NA KUMKUBALI MBOSSO MBELE YA KINGS

P FUNK: DAKTARI ALISEMA MAMA HAWEZI KUISHI MIEZI MIWILI ZAIDI || WASANII WAFUNGUKA

LIZER CLASIC: HAYA NDIYO MAISHA HALISI YA WAZAZI WANGU /POLICE WALIFANYA NIONDOKE TANZANIA

🔴#LIVE: MAPYA KESI ya LISSU KUPIGWA KALENDA /TAMU - CHUNGU BAJETI KUU LEO/WAZIRI AKANUSHA KAULI YAKE

🔴#Live: KUTOKA TORONTO CANADA: TAARIFA ZA HIVI PUNDE KUHUSU MTANZANIA ALIYEDONDOKA GHAFLA...#mapito

NOMA!! HII NDIO STUDIO YA MKALI S2KIZZY BAADA YA KUONDOKA SWITCH RECORDS

Marioo - Aya | Beat Making Session

D CLASSIC AFUNGUKA YEYE NI MOJA YA PRODUCERS WATAKAOFANYA ALBUM YA ALI KIBA / DULLY NDO MSANII BORA

Sessions ya instrumental ya MARIOO - UNANIKOSHA by Mocco Genius

Namna/Jinsi ya kuwa Producer wa mziki Kwa lugha ya kiswahili Sehemu ya 1

Producer Lufa Kafunguka haya Baada ya Tetesi kuwa Kafukuzwa Wanene Studio

Studio Session KOMANDO,G nako ft Diamond Platnumz

Producer Mtanzania aliyefanya ngoma za DRAKE, TRAVIS SCOTT, POP SMOKE na wengine afunguka haya

Treyzah Atoboa Siri Ya Namna Anavyoweza Kutengeneza Ngoma Kali | Alikiba Ana Ni inspire Kwenye Kazi

Producer wa Bongo alezea alivyofanya ngoma za album ya Donda ya Kanye West, Drake, Pop Smoke, Travis

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

Bizman- P Funk Mtata Kwenye Kazi/ TID Msumbufu Lakini Q Chief Safi

Wanene Entertainment wazindua studio kubwa na za kisasa Dar es Salaam

#THEUNKNOWN: DAXO CHALI 'MIMI NI KING WA AMAPIANO' / SABABU ZA KUONDOKA MJ RECORDS

