BANDA BOVU EP 1

BANDA BOVU/ ni tamtathilia inayozungumzia maisha ya mtaani yenye mazingila magumu hususani ya makazi na utafutaji sikuzote tunaimani yakuwa baba ndio kichwa cha familia kwamaana akiyumba yeye basi familia yote uyumba ..lkn leo tazama baba anavyo pambania familiaya yake bila mafanikio yoyote kiasi kwamba anajikatia tamaa ya maisha na kuchukuwa maamuzi magumu ..Kuicha familia yake ikiwa kwenye mpasuko mkubwa wa changamoto za maradh na makazi kupelekea kuleta itirafu nzito....Fatilia kisa hiki ili ujifunze uburudike ndugu yang ....🙏🙏🙏 #Bandabovu series #Hisia zetu tv #Shafukumwenda92 @Jumaabaisar@Habiba chorage@abduljumanne@rickotz @krm entertainment @muhimbitz @Allynjenje @officialnoza @bayo vantane @mpayufilm @filmzetu@yetuafrican media@ bigboss series@cahusikuseries@highlit@kajubeat