UJENZI WA JENGO JIPYA UWANJA WA NDEGE MWANZA WAKWAMA, MAKALA ATOA MAELEKEZO

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amos Makalla ameagiza mchakato wa makabidhiano ya Jengo jipya la Abiria la Uwanja wa Ndege kutoka kwa Mkuu wa Mkoa kwenda kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ufanyike kwa haraka ili ujenzi uendelee baada ya kusimama kwa muda mrefu. Akizungumza baada ya kufanya ukaguzi katika jengo jipya la abiria linalojengwa kwa Fedha kutoka Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Ilemela pamoja na Serikali kuu CPA.Amos Makalla amesema kuwa hakuna sababu yoyote ya Mradi huo kuendelea kusimama licha ya kosoro zilizopo za kiufundi. Ujenzi wa Jengo jipya la Abiria katika Uwanja wa Ndege Mkoa wa Mwanza ulianza tangu Mwaka 2019 kwa maagizo ya Hayati Dkt.John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Hawamu ya Tano kwa gharama ya zaidi ya Shilingi Bilioni 13 lakini hadi sasa zimetumika zaidi ya Shilingi Bilioni 9 huku Halmashauri ya jiji la Mwanza wakichangia zaidi ya Shilingi Bilioni 1.45 ,Ilemela zaidi ya Shilingi Bilioni 1.42 huku Serikali kuu ikiwa imechangia zaidi ya Shilingi Bilioni 9. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo:   / spotileo-176.  . HabariLeo:   / habarileo   DailyNews:   / dailynewstz   INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

Jengo jipya la abiria uwanja wa ndege Mwanza, upi mchoro bora?
▶︎

Jengo jipya la abiria uwanja wa ndege Mwanza, upi mchoro bora?

MTAFARUKU! Vita ya SAMIA vs NCHIMBI na Uzanzibari vs Utanganyika
▶︎

MTAFARUKU! Vita ya SAMIA vs NCHIMBI na Uzanzibari vs Utanganyika

MUONEKANO WA JENGO LA UWANJA WA NDEGE ARUSHA, NAIBU WAZIRI ATOA MAAGIZO "UNASHINDWA KUGEUZA NDEGE"
▶︎

MUONEKANO WA JENGO LA UWANJA WA NDEGE ARUSHA, NAIBU WAZIRI ATOA MAAGIZO "UNASHINDWA KUGEUZA NDEGE"

WAZIRI MBARAWA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA UJENZI SGR MWANZA - ISAKA
▶︎

WAZIRI MBARAWA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA UJENZI SGR MWANZA - ISAKA

🚄 "Tanzania's SGR Train Expansion SHOCKED Me! 🚆🔥 Development at Bullet Speed!"
▶︎

🚄 "Tanzania's SGR Train Expansion SHOCKED Me! 🚆🔥 Development at Bullet Speed!"

BMG TV: Mwanzo mwisho, nyumbani kwa Mfalme Zumaridi
▶︎

BMG TV: Mwanzo mwisho, nyumbani kwa Mfalme Zumaridi

🔴 MAKALA INAYOHUSU UFUGAJI  SAMAKI WA VIZIMBA  #sautv #mwanza #documentaries
▶︎

🔴 MAKALA INAYOHUSU UFUGAJI SAMAKI WA VIZIMBA #sautv #mwanza #documentaries

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds
▶︎

How China Built an Impossible Bridge Above the Clouds

UWANJA wa NDEGE MWANZA Utakavyokuwa Mwakani, BIL 12 KUTUMIKA /TBC1
▶︎

UWANJA wa NDEGE MWANZA Utakavyokuwa Mwakani, BIL 12 KUTUMIKA /TBC1

BMG TV: WASIRA amjibu LISSU akihitimisha kampeni Mwanza
▶︎

BMG TV: WASIRA amjibu LISSU akihitimisha kampeni Mwanza

BMG TV: Sababu za Jiji la Mwanza kuvutia watu wengi
▶︎

BMG TV: Sababu za Jiji la Mwanza kuvutia watu wengi

ADO SHAIBU AMSHUSHUA ESTHER BULAYA BUNGENI KISA KUHAMA CHADEMA - WABISHANA HADI WENZAO WAKACHEKA...
▶︎

ADO SHAIBU AMSHUSHUA ESTHER BULAYA BUNGENI KISA KUHAMA CHADEMA - WABISHANA HADI WENZAO WAKACHEKA...

#BREAKING: RAIA wa KIHINDI AKAMATWA AIRPORT MWANZA AKITOROSHA MADINI ya SHIL BILIONI 1.7 - KIAMA!
▶︎

#BREAKING: RAIA wa KIHINDI AKAMATWA AIRPORT MWANZA AKITOROSHA MADINI ya SHIL BILIONI 1.7 - KIAMA!

MAPACHA WATANO WAZALIWA MUHIMBILI; HOSPITALI KUGHARAMIA GHARAMA ZOTE ZA MATIBABU
▶︎

MAPACHA WATANO WAZALIWA MUHIMBILI; HOSPITALI KUGHARAMIA GHARAMA ZOTE ZA MATIBABU

MATEMBEZI YA MAHUJAJI KUTOKA PAROKIA YA NYAKATO - KAWEKAMO.
▶︎

MATEMBEZI YA MAHUJAJI KUTOKA PAROKIA YA NYAKATO - KAWEKAMO.

UGAWAJI WA MADUKA SOKO KUU MWANZA WAGUBIKWA NA USIRI, WAFANYABIASHARA WAMUANGUKIA RAIS
▶︎

UGAWAJI WA MADUKA SOKO KUU MWANZA WAGUBIKWA NA USIRI, WAFANYABIASHARA WAMUANGUKIA RAIS

#TWENZETU: Shubiri ujenzi wa daraja la Mabatini jijini Mwanza
▶︎

#TWENZETU: Shubiri ujenzi wa daraja la Mabatini jijini Mwanza

BMG TV: RC Mtanda achukua hatua kukamilisha Soko Kuu Mwanza
▶︎

BMG TV: RC Mtanda achukua hatua kukamilisha Soko Kuu Mwanza

SIMBA YAFANYIWA VURUGU CCM KIRUMBA, Mkuu wa Mkoa Atajwa, Karandinga Latumika Kuwakamata
▶︎

SIMBA YAFANYIWA VURUGU CCM KIRUMBA, Mkuu wa Mkoa Atajwa, Karandinga Latumika Kuwakamata

Kuripoti kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano Shule ya Sekondari ya Bwiru Girls Mkuu wa Shule Azungumza
▶︎

Kuripoti kwa wanafunzi wa Kidato cha Tano Shule ya Sekondari ya Bwiru Girls Mkuu wa Shule Azungumza