KIASI CHA FEDHA ZA KUNUNUA DAWA NA BIDHAA NYINGINE ZA AFYA #dawa #afya #fedha

KIASI CHA FEDHA ZA KUNUNUA DAWA NA BIDHAA NYINGINE ZA AFYA Vipo vyanzo kadhaa vya mapato katika vituo vya kutolea huduma za Afya. Vyanzo hivyo ni kama vile malipo ya papo kwa papo (Out of pocket/User fees), fedha za Mfuko wa pamoja wa sekta ya afya (Health Sector Basket Fund), ruzuku kutoka Serikali kuu (Receipt in kind) na vingine kadhaa. Katika kila chanzo cha fedha, ipo asilimia inayotakiwa kutumika katika kununua bidhaa za afya kwa ajili ya kituo kwa mfano:- i) 35% fedha za "Health sector basket fund". ii) 50% ya fedha zinazotokana na mapato ya ndani ya kituo (cost sharing) ambayo hujumuisha malipo ya papo kwa papo (user fees), na mapato yatokanayo na huduma zilizotolewa kwa wateja wa bima kama NHIF, iCHF nk. iii) 100% ya fedha zote za ruzuku kutoka Serikali kuu kupitia Wizara ya Afya ambazo hizi hupelekwa moja kwa moja kwenye account za Bohari ya Dawa (MSD) za vituo husika. Kama vituo vyote vitazingatia matumizi ya fedha tajwa kulingana na miongozo iliyopo, changamoto nyingi kwenye eneo la upatikanaji wa bidhaa za afya zitapungua na pengine kuisha kabisa.

KIASI SAHIHI CHA DAWA NA BIDHAA NYINGINE ZA AFYA CHA KUAGIZA #dawa #afya #supplychain
▶︎

KIASI SAHIHI CHA DAWA NA BIDHAA NYINGINE ZA AFYA CHA KUAGIZA #dawa #afya #supplychain

Mifuko 6 ya UTT AMIS — Mfuko Upi Utakuingizia Faida Zaidi? | CFE. Victor Mwambene
▶︎

Mifuko 6 ya UTT AMIS — Mfuko Upi Utakuingizia Faida Zaidi? | CFE. Victor Mwambene

Ukitaka Kujua Hauna Kitu  | Prof Hamo | Churchill Show Comedy
▶︎

Ukitaka Kujua Hauna Kitu | Prof Hamo | Churchill Show Comedy

NIBA WIYITAHO MU MIRIRE NI ITEGEKO KUMENYA IBI BINTU 8. Ukabona byose umubiri wawe ukeneye.
▶︎

NIBA WIYITAHO MU MIRIRE NI ITEGEKO KUMENYA IBI BINTU 8. Ukabona byose umubiri wawe ukeneye.

Ntarabona Se | Inkuru y'uko Alain Numa yaretse kwiga Kaminuza akajya ku rugamba rwo kubohora Igihugu
▶︎

Ntarabona Se | Inkuru y'uko Alain Numa yaretse kwiga Kaminuza akajya ku rugamba rwo kubohora Igihugu

JINSI YA KUGAWA FEDHA ZA BASKET FUND KWENYE MAKUNDI MBALIMBALI YA BIDHAA ZA AFYA #dawa #fedha #afya
▶︎

JINSI YA KUGAWA FEDHA ZA BASKET FUND KWENYE MAKUNDI MBALIMBALI YA BIDHAA ZA AFYA #dawa #fedha #afya

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema
▶︎

Show Me The 300 Jobs You Created After 300 Ghanaians Left! | Julius Malema

UKUBWA WA JENGO LA DUKA LA DAWA MUHIMU DLDM ACCREDITED DRUG DISPENSING OUTLETS ADDO #dawa #drug
▶︎

UKUBWA WA JENGO LA DUKA LA DAWA MUHIMU DLDM ACCREDITED DRUG DISPENSING OUTLETS ADDO #dawa #drug

JINSI YA KUPUNGUZA MADENI YA BIDHAA ZA AFYA BOHARI YA DAWA MEDICAL STORES DEPARTMENT MSD #dawa
▶︎

JINSI YA KUPUNGUZA MADENI YA BIDHAA ZA AFYA BOHARI YA DAWA MEDICAL STORES DEPARTMENT MSD #dawa

MAOTEO YA BIDHAA ZA AFYA BOTTOM UP QUANTIFICATION BUQ #dawa #quantification #forecasting
▶︎

MAOTEO YA BIDHAA ZA AFYA BOTTOM UP QUANTIFICATION BUQ #dawa #quantification #forecasting

This Simple Calculation Made Her Quit Her Job!
▶︎

This Simple Calculation Made Her Quit Her Job!

5 Pagkain Para Iwas Panghihina ng Binti sa Katandaan
▶︎

5 Pagkain Para Iwas Panghihina ng Binti sa Katandaan

Millions Don’t Know! Put The Sim Card in a Charger and Enjoy
▶︎

Millions Don’t Know! Put The Sim Card in a Charger and Enjoy

From Poverty to Multi-Millions: The Proven Path to Financial Freedom
▶︎

From Poverty to Multi-Millions: The Proven Path to Financial Freedom

Nigerian Deported From UK – Here's The Shocking Story!
▶︎

Nigerian Deported From UK – Here's The Shocking Story!

NAMNA YA KUPIGA MSWAKI KWA USAHIHI ILI KUBORESHA AFYA YA KINYWA NA MENO - DR SOSPETER #afya
▶︎

NAMNA YA KUPIGA MSWAKI KWA USAHIHI ILI KUBORESHA AFYA YA KINYWA NA MENO - DR SOSPETER #afya

The Curse of The First Million  || Dr. Isaac Kalua Green
▶︎

The Curse of The First Million || Dr. Isaac Kalua Green

Jinsi ya Kufungua Duka la Dawa Kirahisi Tanzania 2026 | Hatua, Vibali na Mtaji
▶︎

Jinsi ya Kufungua Duka la Dawa Kirahisi Tanzania 2026 | Hatua, Vibali na Mtaji

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA UTI (URINARY TRACT INFECTION)
▶︎

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA UTI (URINARY TRACT INFECTION)

"We Will Open Africa" — A Conversation with Aliko Dangote
▶︎

"We Will Open Africa" — A Conversation with Aliko Dangote