UGONJWA WA KIFAFA: Sababu, Dalili, Matibabu
Katika video hii nimeeelezea kuhusu Ugonjwa wa kifafa Kifafa (epilepsy) ni ugonjwa wa ubongo unaotokea kama muundo na shughuli za mfumo wa fahamu kwenye ubongo umevurugika. Tunasema kwamba mtu ana ugonjwa wa kifafa kama amepata matukio mawili ya degedege ambayo yametokea kwa siku mbili tofauti bila sababu ya moja kwa moja inayofahamika. Kama mtu amepata degedege baada ya kupigwa kichwani na kitu kizito – hii sio kifafa – kwa sababu chanzo chake tunakifahamu. Kama mtoto anapata degedege na tukipima ana homa kali sana – hatuwezi kusema kuwa na kifafa maana chanzo cha degedege kinafahamika. Ila kama mtu amepata tukio la degedege na tumefanya vipimo vyote bila kuona sababu ya moja kwa moja inayosababisha tukio hilo la degedege – basi tunaweza kusema kuwa ni kifafa. Hii ndio sababu watu wengi wanaamini kuwa ugonjwa wa kifafa unatokana na uchawi – kwa sababu chanzo cha degedege huwa hakifahamiki moja kwa moja. Dr. Emmanuel Mniko #mniko #wikielimu

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA KIFAFA, DALILI NA MATIBABU YAKE.

MADA| Zijue dalili za ugonjwa wa kifafa, degedege
![Jukwaa la Afya | Dalili na matibabu ya maradhi ya kifafa [Part 1]](https://i.ytimg.com/vi/FKGqqVD-8k8/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLBYq0x6w4oz8iWXCzPpFFJRpfbzKw)
Jukwaa la Afya | Dalili na matibabu ya maradhi ya kifafa [Part 1]

Sikiliza Dalili za Kifafa cha Mimba na Madhara Yake kwa Mjamzito?
![Jukwaa la Afya | Dalili na matibabu ya maradhi ya kifafa [Part 3]](https://i.ytimg.com/vi/qS--wGvduoc/hqdefault.jpg?sqp=-oaymwEjCNACELwBSFryq4qpAxUIARUAAAAAGAElAADIQj0AgKJDeAE=&rs=AOn4CLBvRhldQlAynaSiqbofP018o6B63A)
Jukwaa la Afya | Dalili na matibabu ya maradhi ya kifafa [Part 3]

USIYOYAJUA KUHUSU UGONJWA WA KIFAFA, DAKTARI AFUNGUKA "USIMUWEKEE KIJIKO, TUNAHATARISHA MAISHA"

RAIS WA SINGAPORE AWASILI

Ubabe juu ya ubabe Iran na Israel

17 Signs of KIDNEY DISEASE You Can See: Doctor Explains

KIFAHAMU KIFAFA: CHANZO, DALILI, KUMBE KINATIBIKA, DAKTARI AELEZEA..

The real cause of pimples!

Ugonjwa wa Kifafa: Dalili na njia za kukabiliana nao

TUSIYOYAJUA KUHUSU UGONJWA WA KIFAFA, DAKTARI AELEZA A-Z VYANZO VYAKE

TATIZO LA DEGEDEGE KWA WATOTO || SABABU ZINAZOPELEKEA DEGEDEGE || NJIA ZA KUZUIA TATIZO HILO

Ufahamu zaidi ugonjwa wa Kifafa ikiwa leo 08.02.2021 ni siku ya kifafa duniani

Kuelewa, kutambua ishara, na kujifunza jinsi ya kutoa msaada wakati wa kifafa. | Dk. Saurabh

KIUNGULIA: Sababu, Dalili, Matibabu, Kuzuia

Seniors No 1 Oncologist Reveals Foods to Starve Cancer Cells Naturally After 50! |Dr. William Li

UFAHAMU UGONJWA WA KIFAFA/DALILI NA MATIBABU YAKE

