MASKINI NUSU YA DARASA HAWAJUI KUSOMA NA KUANDIKA KATIKA SHULE YA MANDEPWENDE WILAYANI NAMTUMBO.
Shule ya msingi Mandepwende iliyopo wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma imebainika kuwa na wanafunzi 39 kati ya 89 wa darasa la saba wasiojua kusoma na kuandika . Hayo yamebainishwa na ANDERSONI MWALONGO ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ufutiliaji ya elimu iliyoundwa na katibu tawala mkoa wa Ruvuma juu ya matokeo mabaya ya darasa la saba na kidato cha nne kwa mwaka 2017 ambapo mkoa wa Ruvuma umefanya vibaya sana.

▶︎
🔴 ADHA YA MAJI YAWALIZA WAKAZI WA MTONYA, NAMTUMBO

▶︎
BARABARA YA MTWARAPACHA-LUSEWA-TUNDURU KUWEKWA LAMI

▶︎
Sherehe Ya Wa Mama Maendeleo - Dallas, Texas

▶︎
10 Hidden Social Rules in Germany Nobody Warns You About!

▶︎
See what happened as President Ruto commissions Ngong road-Naivasha road flyover.

▶︎
Building an Amazing Underground Den Deep in the Wild | Full Process

▶︎
Inama ya Unity Club | Gen (Rtd) Fred Ibingira

▶︎
DC KALLI AINGILIA KATI KERO ZA MADEREVA WA MALORI LONGIDO

▶︎
🔴 MOTO WAWAKA SOKO KUU SONGEA; JESHI LA ZIMAMOTO LAFIKA KWA WAKATI, WANANCHI WAPONGEZA

▶︎
Why Aliens Would NEVER Invade Africa

▶︎
NAMNA MADEREVA WAA MABASI MAKUBWA WNAVYO FUNDISHWA NDANI YA CHUO CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI

▶︎
🔴 JWTZ YAPOKEA SARE ZILIZOKUWA ZIKITUMIWA KINYUME CHA SHERIA ZA NCHI

▶︎
I'M WARNING DCI & HAVE SUMMONED IG KANJA IN COURT! Babu Owino fumes in court over GenZ abductions

▶︎
Ein Tag auf dem größten Braut Markt der Welt

▶︎
#RuvumaTvLive MKUTANO WA INJILI, VIWANJA VYA WAZI MJIMWE SONGEA, SIKU YA NNE

▶︎
BILIONI 7.7 ZILIVYOJENGA SHULE MPYA 11 ZA MFANO RUVUMA

▶︎
KILIMO AJIRA YANGU, UFUGAJI WA SAMAKI MKURANGA SEHEMU YA PILI 24.02.2018

▶︎
LONGIDO YASIKILIZA CHANGAMOTO ZA WAFANYA BIASHARA WA MIFUGO

▶︎
KÙNORWO KÌ WATHO RUTO VS MEDIA MUTHONI WA KIRUMBA NA MA WAKILI

▶︎
