Kunena kwa Lugha. By Ev. Godfrey J Machota.
Kunena kwa lugha, je Mitumie walinena lugha za kueleweka? Je hizi Lugha zisizoeleweka zinazonenwa na jamii kubwa ya wakristo Leo ni lugha za malaika? Fuatilia somo hili ili upate kuelewa fundiaho hili muhimu katika biblia
