Joseph Mbilinyi: Maisha yangu yalibadilishwa kwa kukisoma kitabu kimoja tu
Wiki hii katika Nyota wa Afrika Mashariki tunamuangazia mwanamuziki nguli wa Hip Hop nchini Tanzania Joseph Mbilinyi a.k.a Mr 2 Sugu ambaye ni mwanamuziki, mwanasiasa na muandishi. Mr 2 Sugu amekuwa kwenye sanaa kwa takribani miaka 30. Alifanikiwa kuliwakilisha jimbo la Mbeya Mjini kama mbunge kwa miaka 10. Na hivi karibuni ameandika kitabu alichosimulia mambo mengi iliyopitia katika muziki ikiwa ni funzo kwa vijana wanaopambania ndoto zao kupitia muziki. Video: 🎥: Frank Mavura #bbcswahili #tanzania #sanaa #siasa #muziki

▶︎
Stara Thomas: 'Rushwa ya ngono ipo kwenye muziki'

▶︎
SIKIA TAMBO za SUGU - "HII CHENI NILIYOVAA NI SAWA NA MAGARI 4"

▶︎
P Funk: "Nina wasiwasi utambulisho wa bongo fleva unapotea"

▶︎
600 BARI MURI CND TWARWANYE NKINKUBA🔥🔥🔥 / UKO YISANZE MUNKOTANYI

▶︎
MAZITO ALIYOPITIA MSANII BEN POL, KUFILISIKA, KUUZA GARI, KUKOSA SHOW, "NI GHAFLA"

▶︎
Tanzania’s Cocoa Journey: From Mapanga to the World

▶︎
🚨KISUGU,APASUKA TAARIFA YA AHMEDALLY KUACHWA SIMBA,

▶︎
Kenyan innovator making bicycles out of bamboo to reduce overreliance on fuel | Earthwise Mtaani

▶︎
Dore play list yindirimbo nziza cyane kurusha izindi zakuzwe cyane za. Jeipol those play list of son

▶︎
Why Did Humans Evolve In Africa?

▶︎
Nay wa Mitego: Mwanamuziki wa Tanzania mwenye tungo tata

▶︎
RASHID muburakari bwinshi asabye KAGAME gusobanura ibyaBAHUTU bishwe uko byarangiye Anavuga kuri Tom

▶︎
SUGU AFUNGUKA MASTER JAY ALIVYOFUTA NYIMBO ZAKE KISA KUISEMA SERIKALI

▶︎
Rais Samia aendeleza mikutano na viongozi wakuu Urusi. Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
Twende Tumutumu (Ya Machakos): We visit the islands in Machakos county

▶︎
SUGU "MIMI WA KWANZA KILA KITU/MSANII WA KWANZA KUMILIKI GARI KALI,KUFANYA SHOW NJE"

▶︎
MBUNGE WA CHAUMMA ,SIGRADA MLIGO AZUA TAHARUKI BUNGENI WAKATI AKITOA SOMO LA MIGOGORO YA ARDHI.

▶︎
Muhammad Ali Refused to Shake Bruce Lee’s Hand — What Bruce Said Left the Studio Frozen

▶︎
