MKE ASIMULIA A - Z MUME WAKE ALIVYO CHINJWA, KUFUKIWA PORINI

Mke wa marehemu Willium Chitemo (46), mkazi wa Kijiji na Kata ya Mtumbatu Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro ambaye ni mfanyabiashara wa Ng’ombe aliyeuawawa kwa kuchinjwa na watu wasijulikana kisha mwili wake kuzikwa porini, Happynes Mzoe, asimulia namna mumewake alivyo muaga siku ya Julai 2025 kwenda kununua Ng’ombe, baada ya hapo hakurejea tena nyumbani hadi mwili wake ulipopatikana siku ya Julai 31, 2025 ukiwa umefukiwa porini Kitongoji cha Msega Kijiji cha Uponera kata ya Mamboya Tarafa ya Magole. Siku hiyi pia marehemu ameondoka nyumbani akiwa na usafiri wake aina ya Pikipiki yenye namba za usajili MC 221 DWW aina ya Haojue ambayo anautumia katika shughuli zake za kila siku. Aidha watu hao baada ya kutekeleza mauaji na kuutelekeza mwili wamechukua nguo za marehemu na kuzivaa kisha kupanda Pikipiki hiyo na kurudi nayo hadi Kijijini hapo na kuiacha katika baa moja na kuwaeleza wahudumu kuwa mwenye pikipiki atakuja kuifuata baada ya siku tatu kwani mwenyewe amelekea Dar es Salaam. Happyness amesema baada ya kupata taarifa za Pikipiki ya marehemu ilipo walifika na Jeshi la Polisi, baada ya kumhoji miliki wa Baa hiyo na kueleza namna alivyoa chiwa Pikipiki akaongozana nao hadi kwa kijana aliyeiacha Pikipiki hiyo ili waweze kumtia nguvuni. Amesema “wakati wapo njiani wakamtafute kuna msamalia mwema alitangulia peke yake alienda na kufanikiwa kumpata ili aje naye kwenye tukio walivyofika njiani akamuomba asimamishe pikipiki ajisaidie, alivyosimama akaruka akakimbia kwenye mashamba ya mbaazi, watu waliendelea kumtafuta lakini hawajafanikiwa kumkamata”, Amesema Mzoe. (Imeandaliwa na Jackson John).

አፈላልጌ ያገኘኋት ‘የባሌ ሚስት’ መጨረሻ!  ከብዙ ይቅርታ በኋላ የቆረጥኩብት ምክንያት Eyoha Media |Ethiopia | Habesha
▶︎

አፈላልጌ ያገኘኋት ‘የባሌ ሚስት’ መጨረሻ! ከብዙ ይቅርታ በኋላ የቆረጥኩብት ምክንያት Eyoha Media |Ethiopia | Habesha

MKE WA MFANYABIASHARA ALIYEUAWA ASIMULIA 'ALIRUKA AKAKIMBILIA KWENYE MBAAZI'
▶︎

MKE WA MFANYABIASHARA ALIYEUAWA ASIMULIA 'ALIRUKA AKAKIMBILIA KWENYE MBAAZI'

MKE WA MAREHEMU CHITEMO ALIYECHINJWA ASIMULIA TUKIO LOTE LILILOPELEKEA KIFO CHA MUME WAKE
▶︎

MKE WA MAREHEMU CHITEMO ALIYECHINJWA ASIMULIA TUKIO LOTE LILILOPELEKEA KIFO CHA MUME WAKE

Mfanyabiashara wa ng'ombe akutwa ameuawa kwa kuchinjwa, azikwa porini
▶︎

Mfanyabiashara wa ng'ombe akutwa ameuawa kwa kuchinjwa, azikwa porini

ለትዳር አጋራችሁ ምን ያህል ጊዜ ይቅርታ ታደርጋላችሁ? ይህ የእኔ ያልተነገረው ታሪኬ ነው! Eyoha Media |Ethiopia | Habesha
▶︎

ለትዳር አጋራችሁ ምን ያህል ጊዜ ይቅርታ ታደርጋላችሁ? ይህ የእኔ ያልተነገረው ታሪኬ ነው! Eyoha Media |Ethiopia | Habesha

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU |  ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.
▶︎

HECHE AMCHANA SAIDI ISSA MOHAMED AMUITA MSALITI SIO MWENZETU | ANATUMIKA ALIFUNGUA KESI YA UONGO.

MUME AMUUA MKEWAKE KWA KUMCHOMA NA KITU CHENYE NCHA KALI GEITA.
▶︎

MUME AMUUA MKEWAKE KWA KUMCHOMA NA KITU CHENYE NCHA KALI GEITA.

OH GOD, THIS IS DELICIOUS! Just mix 3 EGGS and 3 POTATOES! Everyone is looking for this recipe!
▶︎

OH GOD, THIS IS DELICIOUS! Just mix 3 EGGS and 3 POTATOES! Everyone is looking for this recipe!

EXCLUSIVE : ALIYEWAPELEKA CHADEMA MAHAKAMANI AFICHUA KUWAPELEKA TENA SABABU '3' NZITO NI HIZI HAPA
▶︎

EXCLUSIVE : ALIYEWAPELEKA CHADEMA MAHAKAMANI AFICHUA KUWAPELEKA TENA SABABU '3' NZITO NI HIZI HAPA

SINGGAH DI MISSAMANA SEBELUM BALIK CONAKRY
▶︎

SINGGAH DI MISSAMANA SEBELUM BALIK CONAKRY

I was 12 when my mum left me in the house sleeping, I have never seen her again | Tuko TV
▶︎

I was 12 when my mum left me in the house sleeping, I have never seen her again | Tuko TV

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 11.06.2026 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Podcast
▶︎

DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 11.06.2026 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Podcast

MTOTO WA MIEZI MIWILI AIBIWA/BAADA YA SIKU KADHAA MWIZI AMPA BODABODA AMPELEKE MTOTO KWAO
▶︎

MTOTO WA MIEZI MIWILI AIBIWA/BAADA YA SIKU KADHAA MWIZI AMPA BODABODA AMPELEKE MTOTO KWAO

BIBI AGOMA KUMPA URITHI MJUKUU WAKE |VITA NZITO IMEANZA | BIBI KACHARUKA
▶︎

BIBI AGOMA KUMPA URITHI MJUKUU WAKE |VITA NZITO IMEANZA | BIBI KACHARUKA

Budget 2026/27: What Tanzanians, businesses and investors want to see
▶︎

Budget 2026/27: What Tanzanians, businesses and investors want to see

Scars from Russia: Former KDF pilot narrates his escape from Russia war, going for days without food
▶︎

Scars from Russia: Former KDF pilot narrates his escape from Russia war, going for days without food

Mnyika Afunguka Kesi ya Lissu Juni 11: Aambiwa Atoe Majina ya Watu 11 Pekee, Akataa-Sio Utaratibu
▶︎

Mnyika Afunguka Kesi ya Lissu Juni 11: Aambiwa Atoe Majina ya Watu 11 Pekee, Akataa-Sio Utaratibu

MAUAJI SHINYANGA: BIBI AMUUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 3 KWA KIPIGO, MAJIRANI WAELEZA - "ALIMKABA"
▶︎

MAUAJI SHINYANGA: BIBI AMUUA MJUKUU WAKE WA MIAKA 3 KWA KIPIGO, MAJIRANI WAELEZA - "ALIMKABA"

Why did MP George Kapten die in his sleep on Christmas Day? | Kapten's Fatal Christmas
▶︎

Why did MP George Kapten die in his sleep on Christmas Day? | Kapten's Fatal Christmas

MCHUANO MKALI WA MAWAKILI MAHAKAMANI/ WAKILI MADELEKA AGEUKA MBOGO KESI YA MAUAJI SONGEA
▶︎

MCHUANO MKALI WA MAWAKILI MAHAKAMANI/ WAKILI MADELEKA AGEUKA MBOGO KESI YA MAUAJI SONGEA