Changamoto za Watumishi walioko kwenye ndoa kuhama hama yaibuliwa Bungeni; Serikali yatoa neno
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema kuwa watumishi wanakumbana na changamoto nyingi zinazowalazimisha kuhama kutoka eneo moja kwenda lingine hasa wanandoa. Simbachawene ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Juni 08, 2023 bungeni Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu ambapo amesema kuwa watumishi wa namna hiyo hawawezi kufanya kazi kwa ufanisi kwasababu muda mwingi wanafikiria juu ya wenza wao kuwa mbali na hivyo kuahidi kuwa watatafuta namna ya kulifanyia kazi suala hilo bila kuvunja umoja na mshikamano wa taifa.

▶︎
VIDEO: SERIKALI KUUFUMUA MFUMO WA AJIRA, WAZIRI SIMBACHAWENE AFAFANUA

▶︎
Simbachawene: Upo Uwezekano Tuna Walimu ambao Hawana sifa za Ualimu na Walishaajiriwa

▶︎
CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

▶︎
Alichokisema Naibu Waziri UTUMISHI baada ya kukutana na Watumishi wa e-GA

▶︎
#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

▶︎
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WATUMISHI WA UMMA WALIOHAMIA DODOMA KUOMBA UHAMISHO KUREJEA DAR ES SALAAM

▶︎
Uhamisho wa watumishi sasa kutolewa kila Robo Mwaka - Serikali

▶︎
"NILITEGEMEA WAZIRI MKUU ATAJIUZULU, HUWEZI KUWA WAZIRI MKUU HALAFU UNAPUUZWA" MPINA BUNGENI

▶︎
WAZIRI MHE. GEORGE SIMBACHAWENE AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU USAILI WA KADA ZA UALIMU

▶︎
Mbunge wa Mbogwe amwaga machozi bungeni

▶︎
MBUNGE KIJANA KULIKO WOTE BUNGENI ACHAFUKWA VIBAYA, AVAANA NA SIMBACHAWENE, SPIKA ATOA TAMKO HILI

▶︎
Mchuano wa Halima Mdee na Festo Dugange bungeni kuhusu fedha za mikopo ya asilimia 10

▶︎
"SERIKALI HAIWEZI KUAJIRI WATU WOTE, NJIA ILIYOBAKI NI KUWAPAMBANISHA KWA MITIHANI" - SIMBACHAWENE

▶︎
Serikali yawaonya wanaoghushi uhamisho

▶︎
SAKATA LA AJIRA LAIBUA SURA MPYA BUNGENI SPIKA DKT.TULIA AINGIA KATI SIMBACHAWENE ATOA UFAFANUZI

▶︎
WAZIRI SIMBACHAWENE AWAPA SOMO WAKUU WA IDARA ASISITIZA KUTUMIA BUSARA WAKATI KUHAMISHA WATUMISHI

▶︎
MHE. SIMBACHAWENE AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUJIEPUSHA NA UHAMISHO USIOZINGATIA TARATIBU

▶︎
🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI

▶︎
KIKUYUS quickly stop GACHAGUA RUTO Murkomen PLOT CUT SHORT as LUOS attack SIFUNA over Maandamano SAD

▶︎
