Changamoto za Watumishi walioko kwenye ndoa kuhama hama yaibuliwa Bungeni; Serikali yatoa neno

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema kuwa watumishi wanakumbana na changamoto nyingi zinazowalazimisha kuhama kutoka eneo moja kwenda lingine hasa wanandoa. Simbachawene ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Juni 08, 2023 bungeni Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu ambapo amesema kuwa watumishi wa namna hiyo hawawezi kufanya kazi kwa ufanisi kwasababu muda mwingi wanafikiria juu ya wenza wao kuwa mbali na hivyo kuahidi kuwa watatafuta namna ya kulifanyia kazi suala hilo bila kuvunja umoja na mshikamano wa taifa.

VIDEO: SERIKALI KUUFUMUA MFUMO WA AJIRA, WAZIRI SIMBACHAWENE AFAFANUA
▶︎

VIDEO: SERIKALI KUUFUMUA MFUMO WA AJIRA, WAZIRI SIMBACHAWENE AFAFANUA

Simbachawene: Upo Uwezekano Tuna Walimu ambao Hawana sifa za Ualimu na Walishaajiriwa
▶︎

Simbachawene: Upo Uwezekano Tuna Walimu ambao Hawana sifa za Ualimu na Walishaajiriwa

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

Alichokisema Naibu Waziri UTUMISHI baada ya kukutana na Watumishi wa e-GA
▶︎

Alichokisema Naibu Waziri UTUMISHI baada ya kukutana na Watumishi wa e-GA

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA
▶︎

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WATUMISHI WA UMMA WALIOHAMIA DODOMA KUOMBA UHAMISHO KUREJEA DAR ES SALAAM
▶︎

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU WATUMISHI WA UMMA WALIOHAMIA DODOMA KUOMBA UHAMISHO KUREJEA DAR ES SALAAM

Uhamisho wa watumishi sasa kutolewa kila Robo Mwaka - Serikali
▶︎

Uhamisho wa watumishi sasa kutolewa kila Robo Mwaka - Serikali

"NILITEGEMEA WAZIRI MKUU ATAJIUZULU, HUWEZI KUWA WAZIRI MKUU HALAFU UNAPUUZWA" MPINA BUNGENI
▶︎

"NILITEGEMEA WAZIRI MKUU ATAJIUZULU, HUWEZI KUWA WAZIRI MKUU HALAFU UNAPUUZWA" MPINA BUNGENI

WAZIRI MHE. GEORGE SIMBACHAWENE AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU USAILI WA KADA ZA UALIMU
▶︎

WAZIRI MHE. GEORGE SIMBACHAWENE AKIZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU USAILI WA KADA ZA UALIMU

Mbunge wa Mbogwe  amwaga  machozi bungeni
▶︎

Mbunge wa Mbogwe amwaga machozi bungeni

MBUNGE KIJANA KULIKO WOTE BUNGENI ACHAFUKWA VIBAYA, AVAANA NA SIMBACHAWENE, SPIKA ATOA TAMKO HILI
▶︎

MBUNGE KIJANA KULIKO WOTE BUNGENI ACHAFUKWA VIBAYA, AVAANA NA SIMBACHAWENE, SPIKA ATOA TAMKO HILI

Mchuano wa Halima Mdee na Festo Dugange bungeni kuhusu fedha za mikopo ya asilimia 10
▶︎

Mchuano wa Halima Mdee na Festo Dugange bungeni kuhusu fedha za mikopo ya asilimia 10

"SERIKALI HAIWEZI KUAJIRI WATU WOTE, NJIA ILIYOBAKI NI KUWAPAMBANISHA KWA MITIHANI" - SIMBACHAWENE
▶︎

"SERIKALI HAIWEZI KUAJIRI WATU WOTE, NJIA ILIYOBAKI NI KUWAPAMBANISHA KWA MITIHANI" - SIMBACHAWENE

Serikali yawaonya wanaoghushi uhamisho
▶︎

Serikali yawaonya wanaoghushi uhamisho

SAKATA LA AJIRA LAIBUA SURA MPYA BUNGENI SPIKA DKT.TULIA AINGIA KATI SIMBACHAWENE ATOA UFAFANUZI
▶︎

SAKATA LA AJIRA LAIBUA SURA MPYA BUNGENI SPIKA DKT.TULIA AINGIA KATI SIMBACHAWENE ATOA UFAFANUZI

WAZIRI SIMBACHAWENE AWAPA SOMO WAKUU WA IDARA  ASISITIZA  KUTUMIA BUSARA WAKATI KUHAMISHA WATUMISHI
▶︎

WAZIRI SIMBACHAWENE AWAPA SOMO WAKUU WA IDARA ASISITIZA KUTUMIA BUSARA WAKATI KUHAMISHA WATUMISHI

MHE. SIMBACHAWENE AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUJIEPUSHA NA UHAMISHO USIOZINGATIA TARATIBU
▶︎

MHE. SIMBACHAWENE AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUJIEPUSHA NA UHAMISHO USIOZINGATIA TARATIBU

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI  KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI
▶︎

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 26, 2026 -SERIKALI KUTORUHUSU UVUJAJI WA AMANI

KIKUYUS quickly stop GACHAGUA RUTO Murkomen PLOT CUT SHORT as LUOS attack SIFUNA over Maandamano SAD
▶︎

KIKUYUS quickly stop GACHAGUA RUTO Murkomen PLOT CUT SHORT as LUOS attack SIFUNA over Maandamano SAD

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'
▶︎

Heche Amshukia Patrobasi Katambi Kufungia Mikutano: 'Hauna Mamlaka Hayo'