IRAN YASHAMBULIA MELI ya MIZIGO KARIBU na PWANI ya IRAQ - HOFU YATANDA KWENYE MLANGO wa HORMUZ...
IRAN YASHAMBULIA MELI ya MIZIGO KARIBU na PWANI ya IRAQ - HOFU YATANDA KWENYE MLANGO wa HORMUZ... @ONESMO SANGALALI - DAR CC; BAKARI MAHUNDU Meli ya mizigo ilikumbwa na milipuko miwili mikubwa katika Ghuba ya Uajemi karibu na pwani ya Iraq, takribani maili 40 za baharini kusini mashariki mwa bandari ya Umm Qasr, katika tukio jipya linaloongeza mvutano wa kiusalama katika eneo muhimu kwa biashara ya mafuta duniani. Maafisa wa Iraq walisema mlipuko mmoja ulisababishwa na shambulizi la ndege isiyo na rubani (drone), huku baadaye Iran ikisema ilikuwa nyuma ya mashambulizi hayo, jambo lililozua taharuki kubwa katika sekta ya usafirishaji wa baharini na mataifa ya Ghuba. ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136) ⚫️ Email: [email protected] ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania! ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

Rais wa Urusi akataa ombi la mwenzake wa Ukraine, la kufanya mazungumzo ya ana kwa ana.

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

Ubabe wa Marekani na Iran waendelea kuwa kikwazo Hormuz

🔴LIVE: MSIKILIZE DKT. NCHIMBI ANAFUNGUKA MUDA HUU

Iran Yasababisha Maafa Makubwa Kuwait, Watu Zaidi ya 60 Wajeruhiwa kwa Shambulio la Makombora

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.

WAUZA MAGARI MAARUFU WASHANGAA SERIKALI KUNUNUA COSTA MOJA kwa MILIONI 300!..

IRAN YAJIBU VIKALI - YASHAMBULIA KITUO KUU cha JESHI la MAREKANI BAHRAIN -MAKOMBORA YATUA KUWAIT..

HOTUBA NZITO ya RAIS SAMIA MBELE ya RAIS PUTIN NCHINI URUSI - PUTIN AMSIKILIZA kwa MAKINI...

TRAORE’s Billion-Dollar Agriculture Vision for Burkina Faso

U.S. military strikes Iranian military sites, drones

MELI 4 za MAFUTA za IRAN ZENYE MAPIPA MILIONI 7 ZAPITA HORMUZ - TANGU APRILI 15 - ZAIBUA MJADALA..

#PART3: JINSI POLISI WALIVYOHUKUMIWA KUNYONGWA kwa KUMUUA MFANYABIASHARA wa MADINI MTWARA...

The Invention That Changed the Bicycle Industry! By a Farmer

Ghana Just Made A HISTORIC Move To Retaliate South Africa’s Xenophobia

HII NDIO SABABU KWA NINI VITA YA MAREKANI NA IRAN HAIISHI - IBRAHIM RAHBY

MATAPELI

IRGC: Hakutakuwa na Amani Mashariki ya Kati Hadi Israel iondoke Lebanon

How Is Enriched Uranium Made? The Dangerous Process Behind Nuclear Power

