BRELA YAJA NA MUAROBAINI WA MIGOGORO KATIKA KAMPUNI
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) inakutana na wadau wenye migogoro katika kampuni mbalimbali ili kuwezesha kampuni hizo kufanya kazi kama ilivyokusudiwa katika uanzishwaji wake. Akizingumza katika siku ya kwanza ya wiki maalum ya "Suluhisha na BRELA" inayofanyika katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, uliopo Mtaa wa Shaaban Robert, Jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Makampuni na Majina ya Biashara kutoka BRELA, Bw. Meinrad Rweyemamu amesema, kampuni zinaweza kuendeshwa bila migogoro endapo uendeshwaji wake utazingatia Sheria. Rweyemamu amewataka wamiliki wote wa kampuni ambao wanakumbana na changamoto katika uendeshaji wa kampuni zao, kufika na kupatiwa huduma, kwani Msajili ametoa muda wa wiki moja ambapo migogoro katika kampuni itapatiwa ufumbuzi kwa kushauriana na wataalamu kutoka BRELA.

JINSI YA KUSAJILI JINA LA BIASHARA AU KAMPUNI KWA USAHIHI

NJIA SAHIHI ZA UMILIKI WA HISA NA UHAMISHAJI WA HISA ZA KAMPUNI

BRELA: Sheria ya Mabadiliko ya Umiliki Hisa, Wakurugenzi, Kubadili Jina la Kampuni

UTAPATA UZABUNI UKISAJILI KAMPUNI YAKO

TPB YAJA NA BIMA MAALUM YA VIKUNDI 'NISHIKE MKONO" MTEJA UNATAKIWA KUWA NA AKAUNTI ILIYO HAI

#MKUTANO WA MAAFISA UHUSIANO KUHUSU Namna ya Uendeshaji wa Kampuni

HUDUMA YA USAJILI WA MIKOPO

BRELA YAJA NA MFUMO MPYA WA KUFUNGUA KAMPUNI ONLINE

BRELA STAFF TRAINED ON OPPORTUNITIES ARISING FROM REGIONAL TRADE AGREEMENTS

BRELA KUENDELEZA MAHUSIANO YAKE NA JESHI LA POLISI NCHINI

Allen Semboze, CEO ASA Microfinance Uganda Remarks at the MSME Launch

SHERIA YA MGWANYO WA MALI MKIISHI BILA NDOA

ALIYOYAZUNGUMZA MSAJILI WA NGOs KWA WASAJILI WASAIDIZI KILIMANJARO

Trump accuses Iran of violating ceasefire with drone attacks in Strait of Hormuz

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUNUNUA KIWANJA

TISHIO LA MAANDAMANO 7/7, WAZIRI MKUU AFOKA VIKALI KWA WALIOPANGA MAANDAMANO ATOA MSIMAMO MKALI

Trump Says Iran Violated Ceasefire With Hormuz Drone Attack

Siku 90 za kampuni au ofisi yako ya Mikopo (Microfinance) kutengeneza faida ya Mamilioni !!

