Sehemu ya Mahubiri ya Askofu Dkt. Fredrick Onael Shoo, KKKT-DK, Usharika wa Kana Tanga

Ibada ya Jumapili ya Siku ya Mitende ( Tumshangilie Bwana) inayokujia kutoka KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Usharika wa Kana - Tanga. 13/04/2025.