Usifanye ngono kama una Homa ya Ini..

Dr Sizya ni Dactarikutoka hospitali ya Muhimbili,amezungumzia umuhimu wa chanjo ya Homa ya ini,tayari wapo wenye maambukizi na tunaishi nao bila kujua kinachowasumbua,wakubwa, watoto pia.Niungojwa usikuwa na tiba ya kupona. Insta @sizya_official @Tirarira2