KIMENUKA! KIHONGOSI AWAPIGA STOP WANAOBEZA MAENDELEO: “MSIWASIKILIZE!”
KIHONGOSI: “MSISIKILIZE WANAOBEZA MAENDELEO YA SERIKALI” Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amewataka Watanzania kutowasikiliza wanasiasa wanaotumia majukwaa ya siasa kutoa matamshi ya kubeza na kupunguza thamani ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali. Kihongosi ametoa wito huo Mkoani Iringa wakati wa mkutano wa hadhara na wananchi akiwa katika ziara yake ya kikazi ya kuimarisha chama na kukagua miradi ya maendeleo. Amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imewekeza fedha nyingi katika elimu, afya, maji na miundombinu, na matokeo yake yanaonekana kila mkoa lakini kuna baadhi ya wanasia wamekuwa wakitumia baadhi ya madhaifu machache kuwaaminisha kuwa hakuna kitu kilichofanywa na serikali. See less

Argentinien – Österreich Highlights | Gruppe J, FIFA WM 2026 | sportstudio

SHAME ON YOU MR.SPEAKER, HOW CAN YOU STOP ME FROM SUBSTANTIATING?Okiya Omtata loses temper in senate

ACT WAFUNGUKA AJIRA ZA WAZANZIBAR, WATAKA VIJANA KUPEWA KIPAUMBELE! 🔥

Dr Guerby Blaise analyse des failles juridiques du décret électoral face à la Constitution de 1987

Uruhara rwa UPRONA mubwicanyi bwabaye muri 1972//Igitigiri c'Abahutu bishwe ku ntwaro ya MICOMBERO

𝐊𝐈𝐇𝐎𝐍𝐆𝐎𝐒𝐈 𝐀𝐌𝐔𝐀𝐍𝐈𝐊𝐀 𝐌𝐒𝐈𝐆𝐖𝐀, 𝐔𝐒𝐇𝐀𝐇𝐈𝐃𝐈 𝐖𝐀 𝐖𝐀𝐙𝐈 𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐍𝐈 𝐓𝐀𝐏𝐄𝐋𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐈𝐀𝐒𝐀

SAID MZEE ATOA KESI YA CHADEMA YAZUA MJADALA, WANANCHI WAITWA MAHAKAMANI JUNI 23

'You can't expect the president to not correct that record after what we call 'trash talk' was had'

CCM YATOA ONYO KALI KWA WANAOTAKA KUVURUGA AMANI

የ ምሽት የአማርኛ ዜና ሰኔ 15-2018 ዓም - Abbay News - Ethiopia

UJENZI WA KITUO CHA UKAGUZI WA MAGARI MARUHUBI ZANZIBAR UKIENDELEA

MNYIKA AFUNGUKA: “CCM PIA IMO KWENYE BIASHARA YA MAKAA YA MAWE”

IKULU PEMBA YATEMBELEA MIRADI YA KIMKAKATI,UKIWEMO UJENZI WA MRADI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA KARUME

Dayton Campbell Erupts in Parliament Over Deportee Agreement Questions

"MCHAGUE KUNIUA AU MUACHE NIFANYE SIASA" HUYU JAMAA AMUWASHIA MOTO RPC "HATUTAKIMBIA HAPA NI KWETU"

🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

Vance says talks with Iran set "good foundation" to end war

MCHEZA KWAO HUTUNZWA! KIHONGOSI ATIKISA IRINGA, MWEMBETOGWA YAFURIKA WANANCHI

GUMZO!! KAULI YA WAZIRI MKUU MWIGULU KWA MAWAZIRI WALIOWABAGUA WATANGANYIKA YAIBUA UTATA BUNGENI

