Bwana Utanijulisha Njia Ya Uzima

Dominika Ya Tatu Ya Pasaka Mwaka A ZABURI YA KUITIKIZANA Zaburi 16:1-2a na 5, 7-8, 9-10, 11 K. Bwana, utanijulisha njia ya uzima. au: Aleluya. Unilinde, ee Mungu, kwa maana nakimbilia kwako. Nimemwambia Bwana, “Wewe ni Bwana wangu.” Bwana, ndiwe urithi wangu na kikombe changu, ndiwe uishikiliaye hatima yangu. K. Nitamtukuza Bwana aliyenipa shauri; kweli moyo wangu wanifundisha, hata usiku. Nimemweka Bwana mbele ya macho yangu daima; kwa kuwa yuko kulia kwangu, sitatikisika. K. Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, roho yangu inashangilia; mwili wangu utapumzika salama, kwani hutaiacha nafsi yangu kuzimuni, wala hutakubali anayekuamini aone uharibifu. K. Utanijulisha njia ya uzima, / utimilifu wa furaha mbele ya uso wako, na raha kuuume kwako milele. K. Welcome to the home of well-composed liturgical music, Psalms and Litanies for Daily Readings, Sundays, and Special Celebrations, designed for your convenience and entertainment. Here, we produce well-reflected tunes, which are not common, providing a room for community, reflection, and a space to share faith. Share requests for particular psalms you would like us to sing and give your favourite psalm on the channel. Please subscribe, like the video, share, and comment.