Mbinu za biashara kulipa madeni ya benki!
Mbinu za biashara kulipa madeni ya benki Siku zote unapotaka kuchukua mkopo wa benki kwa ajili ya biashara inabidi uwe na majibu ya maswali 4 muhimu yafuatayo: 1. Kwanini unahitaji mkopo wa benki? 2. Je, huo mkopo wa benki utasaidia kuongeza mauzo? (shughuli za masoko), 3. Je, huo mkopo wa benki utasaidia kuongeza uzalishaji bidhaa? (tekinologia bora au ukubwa wa uzalishaji), 4. Je, huo mkopo wa benki utasaidia kupunguza gharama za uzalishaji? Kama huwezi kuwa na jibu angalau la moja kati ya hayo maswali 4, basi fahamu kuwa mkopo unaotaka kuchukua utakuletaea matatizo mengi. Kwa kawaida unapochukua mkopo wa benki hakikisha kuwa utakuwa na uwezo wa kulipa mkopo na riba ndani ya muda uliopangwa. Vile vile ni lazima ufahamu kuwa huo mkopo pamoja na riba vitalipwa kutokana na mapato ya biashara unayochukulia mkopo na sio vinginevyo. Kwenye hii video nimeleza vigezo 5 ambavyo benki hutumia wakati wanafanya tathimini ya ombi la mkopo kutoka kwa mjasiramali. Iwapo unapenda kupata ufafanuzi zaidi kuhusu vigezo vya ukopaji mkopo, basi wasiliana nami kupitia [email protected]. Vile vile unaweza kujiunga na WhatsApp Group ya Tan Business Channel +255 716682439 ili ubadilishane mawazo na wajasiriamali mbali mbali Tumechapisha vitabu vifuatavyo ambavyo unaweza kuvipata kupitia WhatsApp +255 716682439 1. Jinsi ya kuanzisha duka 2. Jinsi ya kuanzisha mgahawa 3. Jinsi ya kuanzisha salon 4. Jinsi ya kuanzisha duka la vipodozi 5. Jinsi ya kuanzisha duka la nguo 6. Jinsi ya kutengeneza hesabu za biashara

Jinsi ya kutoka kwenye madeni sugu.

HII NDIYO SIRI YA UTAJIRI NA KUFANIKIWA KATIKA BIASHARA || UKIIFWATA, UMEFANIKIWA - DUKAHURU

UKIWEKA MILIONI 100 UNAONGEZEWA MILIONI 19 --- NMB WAFAFANUA KITU KIPYA KINAITWA AKIBA PLUS

KABLA YA KUNUNUA HISA ZINGATIA MAMBO HAYA, FAHAMU JINSI YA KUWEKEZA KWENYE MASOKO YA MITAJI

Hatua 6 Za Kutoka Kwenye Madeni.

Mambo Usiambiwa Kwenye mikopo ya Baadhi ya BANK

ငွေကြေးစီမံမှုအတတ်ပညာ : ဆရာမကြည်သာမော်| Master Your Money(Episode 4)

Jinsi Alivyoacha Udaktari na Kujenga Biashara ya Bilioni 2 Kwa Mwaka Bila Mtaji | Full Masterclass

NAMNA YA KUKUZA BIASHARA YAKO - JOEL NANAUKA

Njia Nne (4) Za Kukuza Biashara Yako - Joel Nanauka

Njia Rahisi Zaidi Ya Kupanga Bajeti Yako

Njia 4 Kubwa Unazoweza Kutumia Kumshawishi Mteja.

CRDB NA WORLDREMIT WARAHISISHA UTUMAJI NA UPOKEAJI WA FEDHA KUTOKA NJE YA NCHI

FAHAMU HILI KABLA HUJACHUKUA MKOPO

#EXCLUSIVE: MREMBO AJIZAWADIA NYUMBA ya MAMILIONI KWENYE 'BIRTHDAY' YAKE - MWENYEWE AFICHUA SIRI...

Mtanzania anayewapa watu UTAJIRI kupitia Kubet (mikeka), afunguka kupewa MAONO makubwa ya kubashiri

FANYA HIVI UPATE PESA ZAIDI

HUU NDIO WAKATI SAHIHI WA KUKOPA MKOPO WA BIASHARA

MAMBO YA KUZINGATIA ILI BIASHARA YAKO IFANIKIWE - JOEL NANAUKA

