WASIYOJULIKANA WAVUNJA MASINKI 10 YA VYOO SHULE YA MSINGI MPYA INAYOJENGWA MJIMWEMA MJINI NJOMBE.
NJOMBE-Na Michael Ngilangwa Jumla ya masink 10 yaliowekwa kwenye vyoo vya shule ya msingi mpya ya Mjimwema Mjini Njombe yamevunjwa na watu wasiyojulikana usiku wa Novemba 20, 2021. Wakizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika shuleni hapo baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mjimwema wametaka viongozi wa serikali ya mtaa na kata kuchukua hatua dhidi ya waliohusika ambao wanadaiwa kutolipwa ujira katika kazi hiyo. Akizungumza Na wananchi diwani wa Kata ya Mjimwema Nestory Mahenge amesema tatizo hilo viongozi hawatalinyamazia watahakikisha wahusika wanakamatwa kupitia vyombo vya ulinzi na usalama. Afisa tarafa wa Njombe Mjini Bi. Lilian Nyemele amelaani kitendo kilichofanyika katika vyoo vya shule ya msingi inayojengwa Mjimwema na kutaka wananchi kuonesha ushirikiano wa kuwabaini wasika wa uharibifu huo. Awali mwenyekiti wa serikali ya Mtaa wa Mjimwema bwana Lenard Mkupi amesema serikali ya mtaa huo itakwenda kuzifanyia kazi changamoto za kuharibiwa kwa masink hayo ya vyoo kwenye shule inayojengwa Mjimwema.

Dogo sillah kupokelewa kifalme shule ya mother Teresa njombe

MBUNGE Aanza KUTEKELEZA AHADI ZAKE, Atinga SHULE ya MSINGI IFWAGI, Atoa TAMKO HILI...

MWALIMU ASIMULIA ALIVYOKATWA MKONO NA MUMEWE, WATOTO WAKE WAONE VIDOGOLE VILIVYOKATWA, WANAFUNZI

Hivi ndivyo mashine ya Chips inayo fanya kazi

Aliyenusurika Katika Ajali Huko Njombe Aeleza tukio zima Lilivyotokea / Nilikuwa Usingizini

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

MAJONZI NA VILIO: MIILI 9 YA WANAKWAYA ILIVYOAGWA KANISANI, MCH ASHINDWA KUJIZUIA - "TUMETIKISWA"

Passenger Bus Crashes in Njombe Due to Speeding, Survivor Speaks Out, 28 Survive

HISTORIA YA MKOA WA NJOMBE NCHINI TANZANIA.

MKE WA Q CHIEF AFUNGUKA KUMBE NI DAKTARI MKUBWA, ADAI WALIKUTANA CHUMBA CHA UPASUAJI HAPENDI MZIKI

MP MWALUNENGE’s Remarks on Boda-boda and Machinga Sparks Reaction from This Stakeholder

Sijaridhika!! Hali na Kasi ya Ujenzi wa Barabara ya Wenda-Mgama (Mufindi) na Mtili-Ifwagi (Iringa)

WAGANGA WA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA WASOGEZEWA HUDUMA YA USAJILI JIRANI BARIADI DC

MIAKA 18 JELA KWA KUSINGIZIWA MAUAJI, ASIMULIA ALIVYOTESWA, AOMBA MSAADA

Only Pakistani Mechanics Can Repair This Giant Caterpillar Loader Tire

🔵 POLISI MJIFUNZE KUPITIA KIFO CHA RPC TABORA -LEMA

ASKOFU MKUU AKIZUNGUMZA BAADA YA KUPOKEA USAJILI WA DHEHEBU LA AGGCI

🔵LEMA AMCHAPA ZA USO KABUDI JIMBONI KWAKE KILOSA

SERIKALI YAUNGANA NA BARAZA LA MADIWANI KARAGWE DC KUKEMEA WANAOTAKA KUHARIBU UBORA WA ZAO LA KAHAWA

