CLASS vs SIR episode01

Alikuwa na ndoto ya uwalimu Elisha Gilidai, baada ya kufundisha shule kadhaa,,ghafla akapangiwa shule Moja katika darasa la Tano mkondo c hapo ndipo maswali yakaanza kuja kichwani mwake, toka nimesoma mpaka chuo, nimepitia tabu nyingi sana, na akasema nikiajiriwa ntapumzisha mwili wangu na akili yangu, lakini kwa hili darasa nililokutana nalo ni zaidi ya changamoto kwangu, lakini sitokubali, kama nimeshinda changamoto za kusoma basi na za kuajiriwa nitashinda pia""". Yalikuwa ni maneno ya Elisha akisema. Usikose kufuatilia filamu hii ya class vs sir kujua je mwalimu Elisha atashinda changamoto za kuajiriwa au zitamshinda yeye.