TAMBUA CHANZO CHA TATIZO UNALOPITIA – PASTOR SUNBELLA KYANDO

Mungu anasema "mimi nami nimeliona jambo hili" Maana yake kuna kitu anataka|alitaka kufanya. Kitu ambacho Mungu alikua anazungumzia ilikua ni kwa habari ya nyumba ambayo ilibeba jina lake, kilichokua kinamshangaza ni nyumba yake kubeba vitu visivyofaa. Ni rahisi watu kuona tatizo lakini sio rahisi kujua CHANZO cha tatizo.Popote zinapokuwepo nguvu za giza, zinakua zimepewa "assignment" ambayo pia inakua imefungwa kwenye muda, kwa kadri ambavyo ZINAFANIKIWA ndivyo ambavyo zinazidi kupata nguvu.Haipaswi kupuuzia nguvu za giza. #PastorSunbellaKyando#Chanzo#ChaTatizo