RAIS MWINYI AWATAKA WAHITIMU WA KOZI YA USALAMA NA STRATEJIA KUYATUMIA VEMA WALIYOFUNDISHWA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewataka wahitimu wa Kozi ya Usalama na Stratejia kuyatumia kwa vitendo maarifa waliyoyapata katika Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC), kilichopo Kunduchi Jijini Dar es Salaam. Dkt. Mwinyi ameyasema hayo wakati wa Mahafali ya 10 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi ambapo alikuwa mgeni Rasmi. Kulingana na Mamlaka aliyokabidhiwa na sheria iliyoanzisha Chuo hicho, alitamka kuunda rasmi mkusanyiko kuwa ni Mahafali ya Kumi ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania. Mara tu baada ya Mheshimiwa Mwinyi kuanzisha Mahafali hayo, Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi – Tanzania, Meja Jenerali Ibrahimu Michael Mhona aliwatunuku wahitimu hao Tuzo ya Kifahali ya ndc wahitimu waliofuzu mafunzo yaliyoendeshwa kwa kipindi cha majuma 47 na kufaulu kwa viwango vinavyokubalika kimataifa. Akiwahutubia Wahitimu pamoja na wageni waalikwa, Mheshimiwa Mwinyi amebainisha kuwa Chuo cha Taifa cha Ulinzi kimekuwa kikipokea Washiriki ambao ni Maafisa wa ngazi za juu kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika na viongozi wengine wa gazi za juu, kutoka Wizara, Taasisi na Idara za Serikali zote mbili wamekuwa wakipata fursa ya kujiunga na Chuo hiki kwa kozi ndefu na viongozi wa Serikali kwa kozi fupi.

"HUYU NDIYE MKUU wa USALAMA wa TAIFA TANZANIA - WALA SIMFICHI" - MAGUFULI...

JPM AFICHUA SIRI NZITO YA KAMANDA MPYA WA TAKUKURU “IGP HAUJUI”

NTV AKAWUNGEEZI LIVE NTV AKAWUUNGEEZI STREAM NTV AMAWULIRE LIVE NTV NEWS

TUKIO ZIMA: KUVISHWA CHEO NA KUAPISHWA MNADHIMU MKUU WA JWTZ, IKULU

RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS WA JAMHURI YA MSUMBIJI IKULU DAR ES SALAAM

Mkuu wa KVZ aweka jiwe la msingi la ofisi ya Chuo Cha KVZ Pangatupu

MAPYA YAIBUKA KIFO CHA MEMBE: USALAMA WA TAIFA WATAJWA/ ALITAMANI MAKUBWA/ NI HATARI TUNAKOKWENDA!

Rais wa Zanzibar awaapisha Makamanda wa Idara Maalum wa Vikosi vya SMZ

TAZAMA MWANZO MWISHO BALAA LA ASKARI WA KIKOSI MAALUM (KMKGM) WAKATI WAKUFUNGA MAFUNZO.

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WANANCHI WA MUGUMU-H/W SERENGETI

🔴#LIVE: RAIS SAMIA ANAMPOKEA RAIS WA NAMIBIA IKULU DAR ES SALAAM

MUSWADA WA SHERIA YA IDARA YA USALAMA WA TAIFA WAPITISHWA

DAWA YA RUTO!! Listen to Matiangi Powerful Remarks today in Kirinyaga destroying Kasongo badly

UMAKINI wa MLINZI wa KAMALA HARRIS Mbele ya RAIS SAMIA IKULU DAR

🔴#Live: MAPOKEZI YA MGOMBEA URAIS HUSSEIN ALI MWINYI 2025 ZANZIBAR KUPITIA CCM....

Waziri Simbachawene afafanua kinga dhidi ya Maafisa Usalama wa Taifa

RAIS DKT. SAMIA AKIMPOKEA RAIS DKT. NETUMBO, IKULU DAR ES SALAAM | 20 JUNI, 2026

Lowassa na mkewe walivyotinga Ikulu kwa Rais Magufuli | Amkimbilia | Wazungumza pamoja

Hatua kwa Hatua Mauaji ya Karume

