Wakulima Sumbawanga wachekelea, bei ya maharage yapaa

Wakulima na wafanyabiashara wa maharage mkoani Rukwa wamedai kuanza kunufaika na bei ya zao kutokana na kitendo cha serikali kufungua mipaka ya kuuza mazao nje ya nchi hivyo bei ya zao hilo kuzidi kuongezeka katika msimu huu mavuno tofauti na msimu uliopita.