HAND IN HAND WALIVYOtOA MAFUNZO SINGIDA
Hand in Hand Eastern Africa Tanzania imefanya jukwaa la mahusiano ya kibiashara kwa wadau katika soko la kuku (Market linkage) ikiwa na lengo la kujenga soko lenye fursa na mahusiano madhubuti ya kibiashara kati wanufaika wa miradi ya Hand in Hand wanaojihusha na ufugaji wa kuku na wanunuzi mbalimbali. Akiongea leo Lucas Augustino Michael ambaye ni Meneja wa Miradi Mnyororo wa thamani amesema kuwa Kuwepo kwa jukwaa hilo wanaamini kuwa kwa kuwaunganisha wazalishaji na wanunuzi, pamoja na kuimarisha upatikanaji wa masoko yenye tija, kuongeza mauzo, na kuwawezesha wanufaika wao kukuza biashara zao kwa ufanisi zaidi. Jukwaa hili limetoa nafasi kwa wadau mbalimbali kukutana, kujadiliana, kubadilishana uzoefu na maarifa muhimu, pamoja na kuchunguza fursa za ushirikiano zitakazonufaisha biashara binafsi na sekta ya ufugaji wa kuku kwa ujumla. Aidha, kutakuwa na mijadala ya kitaalamu, mada za viongozi wa sekta, pamoja na vipindi vya mawasiliano na ushirikiano vitakavyowezesha washiriki kujenga mahusiano yenye tija na kuchangia maendeleo ya sekta ya ufugaji wa kuku. Katika jukwaa hili Hand in hand wamewaalika wadau wote katika mnyororo wa thamani wa sekta ya ufugaji wa kuku kushiriki katika tukio hili. Mwisho.

KILIMO ALMASI | How to make millions from herbs farming

I started with one cow now I have 150 High Grade cows producing 1000L of milk daily& I rear chicken

What folic acid does to your child’s brain!

Africa Suffering Because We Elect The 'Worst' To Lead Us – Lumumba

فاهم 36 | سلسلة تذوق العبادات - (1) الصلاة | مع د. أحمد العربي

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-5 #dunsinoyekan #worship #intimacy

CAMFED WALIVYOTOA MAFUNZO KWA WANUFAIKA WAO

🔴TAARIFA YA HABARI, SAA MBILI JUNI 22, 2026 - WABUNGE KUPINGA KURA KESHO KUPITISHA BAJETI KUU

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-6 #dunsinoyekan #worship #intimacy

Kile kilifanya nikuje gereza ni marafiki...LIFE IN PRISON 1|| KAMITI MEDIUM PRISON || JAMII YETU

RESTORING THE ORDER 2026 - DAY-7 #dunsinoyekan #worship #intimacy

WAZIRI MAKONDA AWAVAA CHADEMA BUNGENI | WANAZUNGUKA KUKINANGA CHAMA CHA MAPINDUZI | SISI WAKUBWA

EN DIRECT - Conférence de presse/PASTEF, sur la modification de la constitution

Ikiganiro: Ni gute twabungabunga uburenganzira bw'umwana mu muryango iwacu?

CONFÉRENCE PENTECÔTE 2026 - SESSION 3 - Le jour de la percée (Team EMCI)

Kila Mtu kunywa lita 200 za Maziwa kila mwaka | Kuelekea Siku ya Unywaji wa Maziwa Duniani

Fredrick Mulla ameishi Nairobi kwa miaka 3 sasa, amegundua Kenya inaizidi Tanzania kwenye mambo haya

RAIS AMSHUKIA DCI KINGAI"NILIKUONA UNAFOKAFOKA KAFANYE VITENDO KABLA HUJAMSWEKA MTU FANYA UCHUNGUZI

How I Multiply My Goats Like Crazy Without Buying a Single New One!

