Osonga 032_BWANA UWE PAMOJA NAMI _ (Live Performers, Thitani Mwingi, Choir.)

BWANA UWE PAMOJA NAMI Composed by Alfred Osonga on 02/March/2001. Kisii Kenya🇰🇪 { Bwana uwe pamoja nami katika taabu zangu, kimbilio na ngome yangu ni wewe Mungu wangu, ( Ninakulilia bwana mchana na Usiku Ee bwana Mungu wangu uni sikilize. } 1. Toka vilindini niemekulilia, bwana usikie Sauti yangu, bwana Mungu sikia dua zangu.. 2. Bwana kama unge hesabu maovu,na ni angesimama mbele yako, bwana kwako, kuna msamaha.. 3. Bwana amejaa huruma na Neema, bwana haoni hasira upesi, bwana Mungu, ni Mwingi wa Fadhili.. 4. Nimemngoja bwana roho yangu imengoja, Neno lake nimetumainia, nafsi yangu ina mngoja bwana.... ======÷÷÷÷÷÷×××××∆∆ For:Music🎶Scores/Videos🎥/MID/Vpdf/Audios🔊.. WhatsApp +254722829454 Email:[email protected] #catholicmusic #Choir #AlfredOsonga