WAZIRI ULEGA AAGIZA KUPUMZISHWA KWA ZIWA TANGANYIKA, ATUMBUA MMOJA KIGOMA

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega ametangaza mpango wa Serikali wa kupumzisha  shughuli za uvuvi katika ziwa Tanganyika kwa miezi mitatu ili kuwezesha samaki kuzaliana na kuongeza tija kwa wavuvi wanaofanya shughuli zao ziwani humo.   Waziri Ulega  ametoa kauli ya serikali kwa nyakati tofauti ambapo awali alitoa kauli hiyo akizungumza na wadau wa uvuvi kwenye ofisi ya Mkuu wa mkoa Kigoma na baadaye kuzungumza na wananchi na wadau wanaofanya shughuli za uvuvi kwenye Mwalo wa Katonga Manispaa ya Kigoma Januari 9, 2023. Aidha WAZIRI Ulega amemuagiza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Agnes Meena kumsimamisha kazi Afisa Mfawidhi anayeshughulikia ubora wa samaki kituo cha Kigoma, Frank Kabitina kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma.

MHE. MNYETI ALIVYOMPA NONDO  MBUNGE WA NKASI KUHUSU FAIDA UPUMZISHAJI ZIWA TANGANYIKA
▶︎

MHE. MNYETI ALIVYOMPA NONDO MBUNGE WA NKASI KUHUSU FAIDA UPUMZISHAJI ZIWA TANGANYIKA

Ziwa Tanganyika likifunguliwa hatutaki wavuvi haramu – Mkazi Kigoma
▶︎

Ziwa Tanganyika likifunguliwa hatutaki wavuvi haramu – Mkazi Kigoma

Kimeumana, Wabunge wa kanda ya ziwa Tanganyika wamuwakia Waziri bila woga
▶︎

Kimeumana, Wabunge wa kanda ya ziwa Tanganyika wamuwakia Waziri bila woga

SAKATA LA KUFUNGWA ZIWA TANGANYIKA, DC ASEMA ''HALIFUNGWI TENA, HAKUNA VURUGU".
▶︎

SAKATA LA KUFUNGWA ZIWA TANGANYIKA, DC ASEMA ''HALIFUNGWI TENA, HAKUNA VURUGU".

MOTO wa ZITTO KABWE- AWAONYA WANA KIGOMA WASIFANYE MAKOSA OKTOBA 29- "CCM SIYO WAJINGA-MNAWACHEKA.."
▶︎

MOTO wa ZITTO KABWE- AWAONYA WANA KIGOMA WASIFANYE MAKOSA OKTOBA 29- "CCM SIYO WAJINGA-MNAWACHEKA.."

Fahamu vipengele vyenye ukakasi Sheria ya Usalama wa Taifa
▶︎

Fahamu vipengele vyenye ukakasi Sheria ya Usalama wa Taifa

Shughuli za uvuvi Ziwa Tanganyika kufungwa kwa muda
▶︎

Shughuli za uvuvi Ziwa Tanganyika kufungwa kwa muda

DOGO ALIYETENGENEZA GARI LA UMEME KIGOMA, MASOUD KIPANYA AKUBALI UWEZO WAKE, NI SIKU YA SAYANSI
▶︎

DOGO ALIYETENGENEZA GARI LA UMEME KIGOMA, MASOUD KIPANYA AKUBALI UWEZO WAKE, NI SIKU YA SAYANSI

Alichokisema  Ulega kuhusu  wavuvi wa Ziwa Tanganyika
▶︎

Alichokisema Ulega kuhusu wavuvi wa Ziwa Tanganyika

ZIWA TANGANGANYIKA kufungwa kufanya shughuli za  uvuvi kwa miaka mitatu, NCCR waibuka kutetea wavuvi
▶︎

ZIWA TANGANGANYIKA kufungwa kufanya shughuli za uvuvi kwa miaka mitatu, NCCR waibuka kutetea wavuvi

KAMATI BUNGE YARIDHIA ZIWA TANGANYIKA KUPUMZISHWA MIEZI MITATU
▶︎

KAMATI BUNGE YARIDHIA ZIWA TANGANYIKA KUPUMZISHWA MIEZI MITATU

Upgrading my plants 🪴 Relaxed repotting & styling
▶︎

Upgrading my plants 🪴 Relaxed repotting & styling

Wavuvi wabaki ‘dilema’ Ziwa Tanganyika likifungwa leo
▶︎

Wavuvi wabaki ‘dilema’ Ziwa Tanganyika likifungwa leo

Fanya Mambo: We pray that William Ruto will hand over power peacefully
▶︎

Fanya Mambo: We pray that William Ruto will hand over power peacefully

CS Mbadi tables the 4.8 trillion shilling budget
▶︎

CS Mbadi tables the 4.8 trillion shilling budget

Gachagua Impeachment: The petitioners' case
▶︎

Gachagua Impeachment: The petitioners' case

Gachagua, Kalonzo & How To Defeat Ruto | Tony Gachoka
▶︎

Gachagua, Kalonzo & How To Defeat Ruto | Tony Gachoka

How FIFA Will Make More Than Ever From This World Cup | So Expensive
▶︎

How FIFA Will Make More Than Ever From This World Cup | So Expensive

School unrests: The real problems and solutions
▶︎

School unrests: The real problems and solutions

Babalevo ammaliza pumzi Zitto Kabwe Kigoma 'nipeni wasaidizi nachoka mimi ni Binadamu wanisaidie'
▶︎

Babalevo ammaliza pumzi Zitto Kabwe Kigoma 'nipeni wasaidizi nachoka mimi ni Binadamu wanisaidie'