DEREVA BODABODA ADAIWA KUUAWA NA ABIRIA WAKE
Mwili wa kijana Mwendesha Bodaboda Mjini Babati mkoani Manyara, aliyefahamika kwa jina la Edward umekutwa katika shamba la mahindi katika Mtaa wa Negamsi katika Halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara, akidaiwa kuuawa na watu wasiojulikana kisha kutokomea na pikipiki yake. Tukio hilo limeacha hofu kwa wananchi na madereva Wenzake ambao wameviomba vyombo vya Ulinzi na Usalam mkoani Manyara kufanya uchunguzi na kuwabaini wahusika wa tukio hilo na kuwachukulia hatua za kisheria.

▶︎
MTU MMOJA ACHINJWA NA WASIOJULIKANA AKIWA NYUMBANI KWAKE HUKO MANYARA

▶︎
BABA AONDOKA NYUMBANI BAADA ya UGOMVI - AKUTWA AMEJIYONGA KWENYE MTI MANYARA....

▶︎
BODABODA ACHINJWA VIBAYA NA ABIRIA WAKE, MAITI YAKUTWA KWENYE SHAMBA LA MAHINDI, BODABODA HAIPO

▶︎
🔴 Duh: WAZIRI MKUU TAMKO ZITO ATOA | USALAMA WA NCHI, ACHIMBUA MAZITO

▶︎
Idadi ya watu waliokufa kwenye maporomoko ya Mlima Hanang yaongezeka na kufikia 69

▶︎
BODABODA ILIVYOUA VIJANA ZAIDI YA 5 ARUSHA WAKIONESHA UFUNDI BAADA YA KUTOKA KWENYE MASHINDANO

▶︎
BODABODA WAVUNJA IBADA YA MAZISHI ARUSHA, WAUCHUKUA MWILI NA KUUZIKA BILA MAOMBI...

▶︎
NIMEFIKA HANANG /KATESH KULIPOTOKEA MAFURIKO YA TOPE/ HALI NI MBAYA/WAMEPITIA MTIHANI MZITO

▶︎
BODA BODA AL1YEUAWA NA KUPORWA PIKIPIKI YAKE BABATI, ASAFIRISHWA SINGIDA.

▶︎
KIJANA AUAWA KWA KUCHOMWA KISU KISA MABISHANO YA GHARAMA YA SIMU BABATI - MANYARA.

▶︎
FAHAMU; ZIWA BABATI na MANDHARI SAFI YENYE KUVUTIA ndani Ya Ziwa

▶︎
JANITOR vs THE BIGGEST GUYS IN THE GYM. They Didn’t Expect THAT

▶︎
Miili ya wafanyakazi wa Tanesco waliofariki katika ajali ya gari Manyara yaagwa

▶︎
DEREVA BODABODA ADAIWA KUVUNJWA SHINGO HADI KUFARIKI AKIWA ANADAI ELFU MOJA KWA MTEJA WAKE KARATU.

▶︎
🔴#Live: MAKONDA ATUA BABATI / MANYARA - MABANGO ya KERO za WANANCHI YATAWALA KILA KONA...

▶︎
AJALI MBAYA YAUA DEREVA BODABODA NA ABIRIA BABATI.

▶︎
They would be executed at the Ring Road for others to learn a lesson

▶︎
Doral community rallies to send aid to Venezuela earthquake victims

▶︎
MWABUKUSI AKINUKISHA BABATI, AIVAA SERIKALI YA CCM, "ACHENI UWOGA, CCM NI WABAYA KULIKO WAKOLONI"

▶︎
