🩸Polycythemia Ni Nini? | Sababu, Dalili na Tiba ya 'Damu Nyingi'

Polycythemia Ni Nini? | Fahamu Magonjwa ya Damu 🩸 Je, umewahi kusikia mtu akisema ana “damu nyingi” hadi kulazimika kupunguza damu? Hali hii inaitwa Polycythemia — ongezeko la seli nyekundu za damu mwilini linaloweza kuathiri afya kwa namna mbalimbali. Karibu kwenye Fahamu Magonjwa ya Damu, ambapo Idara ya Magonjwa na Saratani za Damu – MUHAS, kwa kushirikiana na SerenOx Africa, inaleta elimu kuhusu magonjwa ya damu na saratani zake. Katika video hii, wataalamu wetu wanazungumzia: 🔴 Chanzo cha Polycythemia 🔴 Dalili kuu na ishara mwilini 🔴 Hatari zinazoweza kutokea 🔴 Namna ya kutambua na kutibu hali hii 🔔 Bonyeza "Subscribe" ili usikose elimu zaidi kutoka kwenye Fahamu Magonjwa ya Damu. --- Have you ever heard of someone being told they have “too much blood”...? This condition is called Polycythemia — an abnormal increase in red blood cells that can affect your health in various ways. Welcome to Learn About Blood Disorders, where Muhimbili University (MUHAS) Department of Haematology and Blood Transfusion , in collaboration with SerenOx Africa, shares expert knowledge on blood diseases and related cancers. In this video, our specialists explain: 🔴 The causes of Polycythemia 🔴 Its main symptoms and warning signs 🔴 Possible complications 🔴 How the condition is diagnosed and managed 📌 Watch now to better understand Polycythemia and how to take charge of your health. 🔔 Click “Subscribe” so you don’t miss more health education from Learn About Blood Disorders. Brought to you by: ‪@muhimbiliuniversity980‬ , ‪@SerenOxAfrica‬ Presented by: Dr. Felister Seleki Produced by: ‪@k15photos‬ Edited by: Wideangle Media