"MMESAHAU YALIYOTOKEA OCTOBER 29?" Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Watoa Tamko Zito Kuelekea July 7
Katika mkutano huu na waandishi wa habari, Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu unatoa nasaha, ukumbusho na onyo kwa wananchi kuelekea maandamano yanayoratibiwa kupitia mitandao ya kijamii tarehe 7 Julai. Katika tamko lao, viongozi wa dini wanasisitiza umuhimu wa kudumisha amani, utulivu na mshikamano wa kitaifa, huku wakikumbusha yaliyowahi kutokea hapo awali na kutoa rai kwa kila mmoja kutenda kwa busara, kuheshimu sheria za nchi na kuepuka vitendo vinavyoweza kuchochea vurugu au kuhatarisha usalama wa jamii. Tazama tamko zima ili kufahamu hoja, nasaha na ujumbe walioutoa viongozi hao wa dini. Usisahau: • Subscribe kwenye channel yetu. • Bonyeza Like kama umefaidika na maudhui haya. • Toa maoni yako kwa heshima na kuzingatia sheria na miongozo ya jukwaa. #UmojaWaWanazuoni #Tamko #Amani #Tanzania #July7 #Habari #SingoMedia

PLO Lumumba: Why Iran Is Winning the War Against Israel & the USA | Oil, China & Dollar Explained

"HATUKUBALI UDHALILISHAJI KWA SHEKH KISHKI" Jopo la Masheikh Laungana, Latoa Tamko Kali Kwa Ust JUMA

“TUTAWASHUGHULIKIA WAANDAMANAJI, MWENYE USHAHIDI WA WATEKAJI ANILETEE” - WAZIRI KATAMBI

NYOTA NDOGO: STRESS INAVYOUA WASANII KENYA "SITAKI KUFA MASIKINI"

WATCH: Trump takes questions on Air Force One after NATO summit in Turkey

Mzee wa miaka 99 afia gerezani na ujumbe kwa Rais Samia | GUMZO MAALUM | Sheikh Ponda & M.Ghassani

من جندي أمريكي إلى داعية إسلامي - بودكاست حكايات أفريقية

UMOJA WA WANAZUONI WA KIISLAMU TANZANIA WALAANI KITENDO CHA KUDHALILISHWA SHEIKH NURDEEN KISHK

SAKATA LA SHEIKH KISHK KUCHAFULIWA MTANDAONI LAANZA UPYA, MASHEKH WATOA TAMKO

WANAZUONI WAMETOFAUTIANA HAPA! Je, Wakristo wa Leo ni Ahlul-Kitabi na Inaruhusiwa Kuwaoa?

'They Want To Take Out The U.S. Leader—Me': Trump Lambasts Iran And Says Ceasefire Is Over

WENGI HAWAJUI! Sababu za Mashambulizi Mapya na Machafuko Mashariki ya Kati / Sheikh Shabani Afafanua

SHEIKH MWAIPOPO AIBUKA NA KIKOSI CHA CHUI WEUSI WANAKUNG'OA JINO BILA GANZI KISHA WANAKUPA MUA ULE.

HII NDIO SABABU ILIYO PELEKEA SHEIKH KISHK KUCHAFULIWA

TAKBIIIR! MCHUNGAJI WA MAKANISA 48 ASILIMU NA ATOA SIRI ALIVYOTOROKA NA GARI LA KANISA ILI AKASILIMU

"WENGI WANAKOSEA HAPA! HII SIO KAZI YA SHEIKH WA MKOA / UKIIJUA NAFASI YAKO UMEFAULU" Shekh Walid

"KUMEKUCHA"UST MAZINGE AWAONYA WANAODHALILISHA UISILAM AWAPA NASAHA

QEYBTA 1-AAD: DABCASAR MAXAADAN OGEYN OO UU WAREYSIGAN UGA HADLEY. CAJIIBKA SHEEKADIISA GAAR AH.

UJUMBE WA MANGE KWA WANAHARAKATI KILICHO WAFELISHA 7/7

