Simba SC ilivyoichapa Nkana FC goli 3-1
Simba SC imefuzu kuingia hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) baada ya leo kuichapa Nkana FC ya Zambia magoli 3-1 katika mchezo wa marudiano uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Matokeo hayo yameifanya Simba ifuzu hatua hiyo kwa jumla ya mabao 4-3 kufuatia kufungwa mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza uliopigwa nchini Zambia wiki moja iliyopita. Katika mchezo wa leo Nkana ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 17 kupitia kwa Walter Bwalya akimalizia kwa mpira ambao mabeki wa Simba waliuzembea kwa kufanya mchezo wa kuotea. Simba walitulia na kupata bao la kusawazisha kupitia kwa Jonas Mkude dakika ya 29, kabla ya Meddie Kagere kupachika bao la pili kwa kichwa dakika ya 45 na baadaye dakika ya 88, Clatous Chama kuipa Simba bao la ushindi. Simba SC beats Zambia giants Nkana FC 3-1 in Dar Es Salaam to qualify for CAF Champions League group stage. 23/12/2018. #simbankana #simbascnkanafc #simba3-nkana1 Tazama LIVE mechi za Vodacom Premier League na vipindi vingine kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://play.google.com/store/apps/de... Tutuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: / azamtvtz ►TWITTER: / azamtvtz ►FACEBOOK: / azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

Magoli yote Simba ikiiporomoshea mvua ya mabao (4-0) Platinum - CAFCL 06/01/2021

HOTUBA ya RAIS SAMIA AKIWA URUSI - ATOA KAULI NZITO KUHUSU MUSTAKABALI wa TANZANIA na URUSI..

GEOFFY LEA AMVAA ALLY KAMWE AMUACHIA SWALI/SERENGETI BOYS TUWAPE THAMANI WAMESTAHILI

DOGO YUSUPH AWACHOKOZA YANGA 🤣 BASI MOJA LA SIMBA SAWA NA BASI 10 ZA YANGA / ALLY KAMWE ACHA WIVU

Simba Day: Simba SC VS St George highlights

Simba 3-1 Al Ahli Tripoli | Highlights | CAF CC 22/09/2024

Angalia Simba ilivyoitungua Yanga 4-1 nusu fainali ya ASFC

SADIO MANÉ HUMILIATED BRAZIL AND SENEGAL INJURED THE BRAZILIAN NATIONAL TEAM WITH A HISTORIC DEFEAT!

FULL MATCH HIGHLIGHTS SIMBA SC 2-0 WYDAD AC (CAF CHAMPIONS LEAGUE 2023)

SHABANI MPIRA PESA APAGAWA KAULI YA HANS SAKATA LA AHMED ALLY KUFUKUZWA SIMBA MSIMU UJAO

Highlights | Hivi ndivyo Simba ilivyoitenda Platinum (4-0) - CAFCL 06/01/2021

KABWE AIBUKIA BUS JIPYA LA SIMBA IRIZAR

SHABIKI WA YANGA, AWAPONGEZA SIMBA KUPATA BASI ZURI, AMPINGA ALLY KAMWE, ASEMA YANGA IJIFUNZE SIMBA.

Ronaldo & Ronaldinho will never forget Zidane's performance in this match

The Strangest final EVER!🤯🔥, The world is in total shock🌋💀❯ Senegal (1-0) Morocco ● AFCON 2025 🎬 FHD

🚨DOSSA,APAGAWA IRIZA YA SIMBA KUTUA,SAKATA LA UWANJA YANGA.

The incredible facts behind the FIFA World Cup 2022™ Final! | Argentina v France

When Young Cristiano Ronaldo Substituted & SHOCKED Sir Alex Ferguson

Nyiiee!! MIRAJI Achambua Usajili Wa Streka Hatari SIMBA Anatisha | Awakataa Chilambo & Chobwedo

