HALI YA SATIVA KWA SASA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA KATAVI.
Katavi: Kijana ajulikanaye kwa jina la Edga Mwakalebela (Sativa) aliyekutwa katika pori la hifadhi ya Taifa Katavi mkoani Katavi anaendelea na matibabu katika hospitali ya rufaa mkoani humo. Mratibu wa ubora wa huduma za hospitali ya rufaa mkoani Katavi Dr Parason Mtasingwa amesema Edga Mwakalebela amefikishwa katika hospitali ya rufaa mkoani Katavi mnamo saa tatu usiku akitokea katika hospitali ya halimashauri ya wilaya ya Mpibwe ambapo kwa sasa anaendelea kupatiwa matibabu. Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Katavi amesema uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea na yeyote atakayebainika mkono wa sheria utakua juu yake.

▶︎
#LIVE: SATIVA ANAANIKA MAZITO MUDA HUU, KUTEKWA KWAKE MPAKA KUTUPWA KATIKATI YA WANYAMA WAKALI

▶︎
SATIVA asimulia alivyopigwa RISASI ya kichwa na watu WALIOMTEKA na kumtupa kwenye hifadhi ya KATAVI

▶︎
YALIYOJIFICHA JUU YA KUTEKWA KWA KIJANA SATIVA WA TWITTER | AFRIKA HATUNA UHURU WA KUKOSOA

▶︎
SATIVA ALIYETEKWA DAR|MBOWE AWEKA HADHARANI SIRI TUSIYOIJUA....

▶︎
Familia ya Sativa yasubiri hatima ya madaktari , afya yake yaendelea kuimarika

▶︎
BANDARI YA KAREMA YAANZA KWA KISHINDO KIKUBWA, DC BUSWELU ASHUHUDIA USAFIRISHAJI WA MAKAA YA MAWE.

▶︎
ZITTO AFIKISHA SAKATA LA KUTEKWA KWA SATIVA MBELE YA RAIS SAMIA/RAIS ATOA MIL 35 KWAAJILI YA SATIVA.

▶︎
KAULI YA SATIVA AKIWASHUKURU WATANZANIA BAADA YA KUPEWA MSAADA WA HARAKA / RISASI YA KICHWA

▶︎
SATIVA KUWASHTAKI IGP NA MWANASEHERIA MKUU| ADAI FIDIA YA BILIONI 5, NDANI YA SIKU 90

▶︎
ROMA: WALIONITEKA WALINIAMBIA NITATOKA 2030

▶︎
TANZANIA YASHITAKIWA MAHAKAMA ya KIMATAIFA ya HAKI za BINADAMU AFRIKA kwa KESI NNE - HUKUMU YATOKA..

▶︎
SONA: Magkasintahan, nangisay at nanigas ang katawan matapos makainom ng milk tea

▶︎
POLISI WAELEZA A-Z TUKIO la SATIVA KUTEKWA DAR na KUOKOTWA PORI la HIFADHI ya TAIFA ya KATAVI....

▶︎
CHADEMA YAWASHA MOTO MPANDA....

▶︎
BALAA ZITO! SATIVA AMTAJA AFANDE MAFWELE BILA WOGA MBELE YA AKAMANDA MULIRO NA RAIS WA TLS

▶︎
ASALI NA KITUNGUU SAUMU VINALETA HESHIMA YA NDOA, MUME ANAKUWA RIJALI

▶︎
"SATIVA ALISEMA AMETEKWA NA WASHKAJI" KAMANDA MULIRO AFICHUA MAZITO SAKATA LA KUTEKWA SATIVA...

▶︎
WALIMTEKA KWENYE BASI MCHANA KWEUPE| KULIKUWA NA ASKARI, "MWILI WAKE UMEKUTWA UMEMWAGIWA TINDIKALI"

▶︎
Zitto amjulia hali Sativa, 'asema tuhakikishe matukio haya' ...ataka uchunguzi

▶︎
