Forever by Gvan_Official ( audio_Official )

#forever #love #kenya ‪@youlflow2933‬ ‪@dplatnumz‬ ‪@Mbossokhan‬ ‪@Harmonize255‬ ‪@iamlavalava‬ ‪@Ni_Yvan‬ ‪@kenyacitizentv‬ ‪@otilebrownofficial‬ ‪@WillyPaulMsafi‬ ‪@ktnnews_kenya‬ ‪@ntvkenyaonline‬ ‪@bahatikenya‬ ‪@KenyaDigitalNews‬ ‪@ITVTanzaniaTz‬ #tanzania #music #song #burundi Verse 1 Nilikuona usiku wa leo Moyo wangu ukasema “weyo” Tabasamu lako ni moto Baby wewe ni zawadi kutoka kwa Mungu Nikikushika nasahau shida Ukiongea moyo unacheza Sitaki mwingine duniani Cause you’re my one and only Pre-Chorus Baby stay with me Usiende mbali Mapenzi yetu Yawe milele kweli Chorus Forever, forever Nitakupenda milele My baby forever Hakuna kama wewe Forever, forever Tutabaki pamoja Only you my lover Mpaka mwisho wa maisha Verse 2 Kila siku nikikuona Najisikia kama ndoto Ukilia nami naumia Ukicheka dunia inapendeza Tushike njia moja Mimi nawe mpaka mwisho No more pain, no more lies Niwe nawe all my life Bridge Oh baby trust me Sitakuangusha Katika giza na mwanga Nitakuwa na wewe Final Chorus Forever, forever Nitakupenda milele My baby forever Hakuna kama wewe Forever, forever Moyo wangu ni wako Baby stay forever Nakupenda sana ohh…