MASHINDANO YA KIMATAIFA VISHALE ARIKA MASHARIKI KUFANYIKA MOSHI
Zaidi ya washiriki 350 kutoka Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, South Sudan na Malawi wanatarajiwa kushiriki mashindano ya kimataifa ya mchezo wa vishale maarufu kama Tanzania Open yatakayofanyika hapa Moshi Club kuanzia Juni 24 hadi 29 mwaka huu. Mashindano haya yanatarajiwa kuwakutanisha wachezaji wa makundi mbalimbali ikiwemo vijana, huku yakilenga kutafuta mabingwa wa Afrika Mashariki katika mchezo huo. Waandaaji wa mashindano hayo wameeleza kuwa maandalizi yanaendelea vizuri na wametoa wito kwa wadau mbalimbali, kampuni na taasisi kujitokeza kudhamini tukio hilo kubwa la kimataifa. Wamesema udhamini utachangia kufanikisha mashindano hayo na kutoa fursa kwa wadhamini kutangaza bidhaa na huduma zao kwa washiriki na wageni kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika Mashariki.

Storchennest Live Webcam in Bad Salzungen, Thüringen

FLY OVER YAFIKA ARUSHA, MBUNGE MAKONDA AWEKA WAZI MIPANGO KAZI.

(44thMIO:35-38) MQ76-77 3-Jun 14:30 17:00

MOSHI YAWEKEZA BIL 2 UJENZI WA UWANJA WA KISASA WA MAJENGO KUELEKEA AFCON

KENYA VS SOUTH SUDAN | CAVB ZONE 5 QUALIFIERS 2026 | MEN

Mwonekano wa Mwenge Flyover, Dar es Salam

BIBI MWENYE MIAKA 90 ABAKWA NA KIJANA MWENYE MIAKA 32 NA KUMVUNJA MKONO KIBOSHO-MOSHI

WIMBO ULIOTIKISA KATIKA ADHIMISHO LA MISA CHUO CHA POLISI CCP - MOSHI

Ujenzi wa Kituo cha Kisasa cha Mabasi na Soko la Soko Matola Jijini Mbeya Washika Kasi

I went to the most dangerous streets to film in this neighbourhood of Nairobi Kenya (unbelivable)

4 BABIES by 4 women: 😱👶🏻GRANDMA wants to FORCE him to have a VASECTOMY!💉😨 | Full Episode | Verdac...

GB 64 AWAKA TUNAMPA MASAA 24 AOMBE MSAMAHA KWA JAYRUTTY, SHETANI WA YANGA

Wer ist ärmer: wir oder die Afrikaner? Preise in Afrika, Äthiopien

CEASER ELIMINATED MUKISA HERBERT IN LESS THAN 26 MINUTES IN A WEEKLY COMP ROUND OF 16 RACE TO 4

VILIO VIMETAWALA MAZISHI YA MJUMBE WA SERIKALI YA KIJIJI ALIYEUAWA HAI AACHA KICHANGA CHA WIKI MOJA.

I Visited The North Korea of Africa!(Eritrea)!

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

Uganda minister shocks Ruto during National Prayer Breakfast narrating Obote-Museveni Millitary coup

#TBC1 WEKEZA TANZANIA : SEKTA BINAFSI YAITWA KUWEKEZA KIA

