Alama 18 za Kifo Chema (Husnul Khaatimah) || Sheikh Ali Ahmad

Je, ni zipi alama za kifo chema (Husnul Khaatimah) katika Uislamu? Katika Darsa hii utajifunza alama 8 za mwisho mwema ambazo zimeelezwa katika Qur'an na Sunnah. Jifunze jinsi Muumini anavyoweza kujiandaa kwa maisha ya Akhera na kuomba Mwenyezi Mungu amjaalie Husnul Khaatimah. Darsa ya Kiislamu yenye mawaidha, nasaha na mafunzo muhimu kwa kila Muislamu.