MAKONDA awalipua MNYIKA, KUBENEA kwa MAGUFULI "NI WEZI"

MAKONDA awalipua MNYIKA, KUBENEA kwa MAGUFULI "NI WEZI" Ndege mpya ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8 Dreamliner, iliyonunuliwa na Serikali imeondoka nchini Marekani jana Ijumaa, Oktoba 25, 2919 kuja Dar es Salaam Tanzania. Ndege hiyo kubwa yenye uwezo wa kubeba abiria 262 inatarajiwa kutua katika Uwanja wa N dege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi, Oktoba 26, 2019, saa 8:00 mchana. Ndege ya kwanza ya Boeing 787-8 Dreamliner iliundwa 2009, na hadi Septemba 2019, zimeshaundwa ndege za aina hiyo 894. Ndege hiyo iliyopewa jina la Hifadhi ya Kisiwa cha Rubondo (Rubondo Island) itapokelewa na wananchi wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli. Hii inakuwa ndege ya 8 kati ya ndege 11 zilizonunuliwa na Serikali kwa lengo la kuimarisha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), kukuza utalii na uchumi. YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) --------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEWS: https://www.youtube.com/playlist?li

Duh! MAGUFULI Raises Money for HIS WIFE "You've Made Me a Priest, Come and Donate"
▶︎

Duh! MAGUFULI Raises Money for HIS WIFE "You've Made Me a Priest, Come and Donate"

RAIS MAGUFULI AKIPOKEA NDEGE MPYA BOEING 787-8 DREAMLINER
▶︎

RAIS MAGUFULI AKIPOKEA NDEGE MPYA BOEING 787-8 DREAMLINER

LUZIRA PRISON ESATIRA: EBYAMYA EBIZUSE KU MUSIBE CHRISTOPHER OBEY EYEBIKA NTI AFUDE NATOLOKA ELUZIRA
▶︎

LUZIRA PRISON ESATIRA: EBYAMYA EBIZUSE KU MUSIBE CHRISTOPHER OBEY EYEBIKA NTI AFUDE NATOLOKA ELUZIRA

Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya
▶︎

Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya

Rais Magufuli apiga msumali wa mwisho sakata la makontena ya RC Makonda
▶︎

Rais Magufuli apiga msumali wa mwisho sakata la makontena ya RC Makonda

'Wanasema sijui Kiingereza, sasa niliandikaje hizo thesis''-Rais Magufuli
▶︎

'Wanasema sijui Kiingereza, sasa niliandikaje hizo thesis''-Rais Magufuli

MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
▶︎

MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.

BREAKING: MAGUFULI AMLIPIA MSIGWA MIL 38 KUMTOA JELA
▶︎

BREAKING: MAGUFULI AMLIPIA MSIGWA MIL 38 KUMTOA JELA

Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!
▶︎

Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!

SIKU RAIS MAGUFULI ALIVYOZINDUA KIWANDA CHA NGOZI CHA ROSTAM AZIZ- "UTAKUMBUKWA KWA MENGI MAZURI"
▶︎

SIKU RAIS MAGUFULI ALIVYOZINDUA KIWANDA CHA NGOZI CHA ROSTAM AZIZ- "UTAKUMBUKWA KWA MENGI MAZURI"

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
▶︎

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

'Hakuna mtu anataka kumjaribu Rais Magufuli, mahabusu sio pazuri' -Tundu Lissu
▶︎

'Hakuna mtu anataka kumjaribu Rais Magufuli, mahabusu sio pazuri' -Tundu Lissu

MAGUFULI ALIVYOMUITA MKE WA KIKWETE NA MKE WAKE "TUMEPENDEZA"...KIKWETE WEWE!
▶︎

MAGUFULI ALIVYOMUITA MKE WA KIKWETE NA MKE WAKE "TUMEPENDEZA"...KIKWETE WEWE!

Rais Magufuli akemea ukabila Kenya
▶︎

Rais Magufuli akemea ukabila Kenya

RAIS MAGUFULI ATAFUTA SAMAKI WAKE FERI "WAAMBIE SAMAKI WANGU ASIJE POTEA"
▶︎

RAIS MAGUFULI ATAFUTA SAMAKI WAKE FERI "WAAMBIE SAMAKI WANGU ASIJE POTEA"

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..
▶︎

🅻🅸🆅🅴.....🔴#LIVE; WAKILI PETER MADELEKA ANAZUNGUMZA MAZITO MUDA HUU..

RAIS MAGUFULI: LEMA njoo tusalimiane/ Msigwa pole kwa kufiwa
▶︎

RAIS MAGUFULI: LEMA njoo tusalimiane/ Msigwa pole kwa kufiwa

Watch: President Trump clashes with South African President Ramaphosa in Oval Office meeting
▶︎

Watch: President Trump clashes with South African President Ramaphosa in Oval Office meeting

Balaa! MAKONDA na CHALAMILA uso kwa uso, wageuka MBOGO mbele ya WAZIRI MKUU kwenye mapokezi ya Ndege
▶︎

Balaa! MAKONDA na CHALAMILA uso kwa uso, wageuka MBOGO mbele ya WAZIRI MKUU kwenye mapokezi ya Ndege

Rais Magufuli afunga mjadala suala la katiba mpya
▶︎

Rais Magufuli afunga mjadala suala la katiba mpya