Fresh Jumbe: Nilimvaa Marijani uso kwa uso nikamuomba kazi walipokuja Tanga na Dar Internationa. ...
MUZIKI NA WANAMUZIKI ni chaneli inayokupa habari za muziki na wanamuziki wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Kwanza subscribe hapa / @muzikinawanamuziki ili usipitwe na habari yoyote tutakayoitundika hapa. Tofauti na chaneli nyingine zinazokupa habari za aina moja tu ya muziki au wanamuziki, MUZIKI NA WANAMUZIKI inakupa habari za muziki wa Kiswahili wa aina tezo na wanamuziki wa aina zote. Kuanzia MUZIKI WA DANSI, Taarab, Bongo Fleva, Singeli na hata ngoma za utamaduni pamoja na habari za wanamuziki wa miziki hiyo. Ndiyo maana tunaitwa MUZIKI NA WANAMUZIKI. Hatuchagui, hatubagui. Ni matumaini yetu kwamba utaburudika na kuelimika vya kutosha. Jisikie huru ku-Subscribe, ku-like na kutoa maoni au maombi yangu. Nasi tunakuahidi kuwa tutasoma kila ujumbe, maoni na maombi ya wote ambayo yatahitajika kujibiwa. Ili uweze kupata kila habari tunayoiweka hapa pamoja nyingine muhimu, tafadhali tembelea links zetu hizi hapa chini: MUZIKI NA WANAMUZIKI: / @muzikinawanamuziki Kwa habari zaidi za muziki wa Dansi: Fresh Jumbe YouTube / freshjmw Adam Zuberi Facebook https://www.facebook.com/profile.php?... Fresh Jumbe Facebook / akida.mtwana Website https://freshjumbe.com/

FRESH JUMBE ( Part Two ) Nyimbo zangu nyingi zenye majina ya wanawake ni true story, .....

Hizi Nazo na Fresh Jumbe

Gwiji la kupuliza Tarumbeta Super Volcano na bendi za Wanyika Saidi Makelele - Part - 1

Bitchuka afunguka jinsi alivyojiunga na NUTA JAZZ kwa mara ya kwanza na pia wimbo wake wa kwanza ku

Gwiji la kupuliza Tarumbeta tangu Super Volcano mpaka bendi za Wanyika Saidi Makele Part - 2

Safari ya kimuziki ya Gwiji Henry Mkanyia - Part - 2

Mikidadi Seif: Sijui ni kwa nini Serikali ilivunja makundi ya burudani kwenye Mashirika ya umma...

Safari ya kimuziki ya Gwiji Henry Mkanyia - Part - 1

RHUMBA MIX 2022 BEST OF RHUMBA SONGS MIX 2022 RHUMBA DRIVE MIX 2022 DJ LANCE THE MAN /RH EXCLU

Ngalula

Majengo: Ala za upepo zinapotea nchini mwetu - Nataka kuwafundisha vijana wanakimbia - Nchi yetu...

Vipi Mwana

Hatari Kubwa

Sikinde tulitumia gitaa la Kombora asema Julius Mzeru - Halafu ile bendi ilikuwa kama jeshi maana...

Abdala Gama azungumzia historia yake ya kimuziki na ya "pacha wake" Joseph Mulenga - Part - 2

Huba Wangu

Orchestra Safari Sound 'Masantula ngoma ya mpwita' na wimbo wao 'Mwaka wa watoto'. Muziki na wanamu

Abdala Gama azungumzia historia yake ya kimuziki na ya "pacha wake" Joseph Mulenga - Part - 1

WAZIRI MKUU ANAZUNGUMZA NA WAKAZI WA MAFINGA MJINI-IRINGA

