Watu sita wa familia moja wauawa kikatili kwa mapanga Kigoma
Watu sita wa familia moja katika Kijiji cha Kiganza, wilaya ya Kigoma wameuawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo Julai 3, 2022 huku wauaji wakimuacha hai mtoto mchanga wa miezi mitatu na kumjeruhi mtoto mwingine James Januari (4). Kwa mujibu wa RPC wa Kigoma, ACP Menrad Sindano, wauaji walitumia kitu chenye ncha kali kuwajeruhi wanafamilia hao sehemu mbalimbali za miili yao na kuwasababishia kifo. Sababu ya mauaji hayo ya kikatili haijafamika na polisi inaendelea na uchunguzi wa tukio hilo. #AzamTVUpdates #AzamNews

▶︎
WIVU WA MAPENZI, AUA WATU SABA FAMILIA MOJA, AKAMATWA NA POLISI TAZAMA.

▶︎
TAZAMA YALIVYOFANYIKA MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA WALIOUWAWA KIGOMA

▶︎
SISI ILEWE | 2026 Latest Nigeria Movie - Ego Nwosu, Kunle Remi, Kamo State

▶︎
MAKONDA amwaga MACHOZI nyumbani kwao Mtoto ALI HAJI familia yaangua kilio, Rais SAMIA kuwajengea

▶︎
AMSHITAKI MMEWE KWA WAZIRI MKUU "ANAJINYEA TU" Wananchi Wavunjika Mbavu

▶︎
Mtuhumiwa wa mauaji ya watu saba Kigoma akamatwa

▶︎
TAZAMA SAMAKI NA DAGAA WA KIGOMA WALIVYOPATIKANA BAADA YA ZIWA KUFUNGWA'' NDOO KUANZIA LAKI MBILI''

▶︎
TEARS! UTUMISHI GIRLS STUDENTS FIRE TRAGEDY VICTIMS FINAL JOURNEY

▶︎
Gachagua lands in Kisumu, MOCKS Ruto "Alikuja Kupika Samaki huku!" Crowds ERUPT

▶︎
WATOTO WANNE WAFARIKI WAKIVUKA MTO KWENDA SHULE KIGOMA ''HAPA WALISHAKUFA SANA''

▶︎
SHEMU YA PILI: DAAH!! NOMA TULIKIMBIZWA NA ASKARI | NILIFANYA TUKIO LA AJABU HATA MIMI NILIUMIA SANA

▶︎
BREAKING NEWS: CCTV Of Utumishi Girls Suspects Fake? New Evidence Causes PANIC

▶︎
WAGANGA 10 WA JADI WATUA KIGOMA KUPAMBANA NA UCHAWI SUGU

▶︎
🔴#BREAKING: RAIS SAMIA USO kwa USO na HALIMA MDEE HOSPITALINI AKIMJULIA HALI MAMA YAKE ALIYELAZWA...

▶︎
BODABODA KIGOMA WATAKA KULIAMSHA TENA BAADA YA MKUTANO, LAWAMA KWA POLISI, DC ASEMA HAYATATOKEA TENA

▶︎
The Sweet Reward After a Busy Day ❤️ Harvesting Giant Fish and Picking Up My Daughter From School

▶︎
MAKONDA ambananisha OCD Hanang, Polisi wamekimbia na Bango la Mwananchi na Kumbomolea Nyumba yake

▶︎
"እሳቱን ለመቆጣጠር ርብርብ እየተደረገ ነው"|የሐሙስ፣ሰኔ 04, 2018 ዜናዎቻችን| @artstvworldnews

▶︎
Watu Watano Wahukumiwa Kunyongwa kwa kosa la Mauaji Njombe

▶︎
