RAIS SAMIA AIPA TANROADS ZAIDI YA BILIONI 500 UJENZI MIUNDOMBINU DAR ES SALAAM

Katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan zaidi ya Shilingi Bilioni 500 zimetolewa kwa Wakala ya Barabara Tanzania-TANROADS Mkoani Dar es salaam. Licha ya kusimamia matengenezo ya barabara na madaraja, katika kipindi cha miaka mitatu Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia imeendelea kutoa fedha kwa ajili ya miradi ya Kimkakati ambayo utekelezaji wake upo kwenye hatua mbalimbali sambamba na kuhakikisha mtandao wa kilomita 619 za barabara zinazosimamiwa na TANROADS zinapitika wakati wote. Hayo yameelezwa na Meneja wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es salaam Mhandisi John Mkumbo leo tarehe 8 Novemba 2024 wakati akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa miradi ya barabara, madaraja pamoja na vivuko katika mkoa huo.

HAYA NDIO MADARAJA MAKUBWA MATANO KUJENGWA JIJINI DAR...
▶︎

HAYA NDIO MADARAJA MAKUBWA MATANO KUJENGWA JIJINI DAR...

DARAJA JIPYA JANGWANI: Suluhu ya Kudumu ya Mafuriko | Daraja Jipya Kuinuliwa Mita 8 Juu!
▶︎

DARAJA JIPYA JANGWANI: Suluhu ya Kudumu ya Mafuriko | Daraja Jipya Kuinuliwa Mita 8 Juu!

VIDEO:RAIS SAMIA ALIVYOWASILI NCHINI NORWAY, HIVI NDIVYO ALIVYOPEWA HESHIMA, MSAFARA WAKE,ANENA HAYA
▶︎

VIDEO:RAIS SAMIA ALIVYOWASILI NCHINI NORWAY, HIVI NDIVYO ALIVYOPEWA HESHIMA, MSAFARA WAKE,ANENA HAYA

#BREAKING: RAIS SAMIA ATANGAZA KUGOMBEA URAIS 2025 - "WAMEANZA KUNICHOKOZA, SIWEZI KUACHIA BARAKA"
▶︎

#BREAKING: RAIS SAMIA ATANGAZA KUGOMBEA URAIS 2025 - "WAMEANZA KUNICHOKOZA, SIWEZI KUACHIA BARAKA"

Umujyi wa Kigali ugaragaje impamvu zituma agakiriro ka Gisozi gakwiye kwimurwa
▶︎

Umujyi wa Kigali ugaragaje impamvu zituma agakiriro ka Gisozi gakwiye kwimurwa

Tanzania will implement double-decker trains within the SGR network.
▶︎

Tanzania will implement double-decker trains within the SGR network.

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU
▶︎

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UJENZI WA BARABARA YA NJIA SITA DODOMA–CHAMWINO IKULU

WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050
▶︎

WIZARA YA UJENZI YAANIKA MIKAKATI KUIKIJANISHA DODOMA KUELEKEA DIRA 2050

Mwonekano wa Mwenge Flyover, Dar es Salam
▶︎

Mwonekano wa Mwenge Flyover, Dar es Salam

Prof. MBARAWA AKAGUA UKARABATI MKUBWA WA RELI KALIUA - MPANDA | MKUU WA MKOA AMSHUKURU RAIS SAMIA
▶︎

Prof. MBARAWA AKAGUA UKARABATI MKUBWA WA RELI KALIUA - MPANDA | MKUU WA MKOA AMSHUKURU RAIS SAMIA

🔴#LIVE:MAMBO YALIYOTEKELEZWA  MWAKA MMOJA WA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MADARAKANI
▶︎

🔴#LIVE:MAMBO YALIYOTEKELEZWA MWAKA MMOJA WA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MADARAKANI

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV
▶︎

Rais Samia wa Tanzania anatafuta nini Urusi? Katika Dira ya Dunia TV

Çfarë po ndodh në plazhin e Zvërnecit? Fevziu pyet palët: Projekti nuk është ende gati!
▶︎

Çfarë po ndodh në plazhin e Zvërnecit? Fevziu pyet palët: Projekti nuk është ende gati!

Top 10 City Skylines of Dar Es Salaam in 2026. The largest City in East Africa
▶︎

Top 10 City Skylines of Dar Es Salaam in 2026. The largest City in East Africa

MEYA WA DAR ALIVYOMBANA INJINIA UJENZI WA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, MBUNGE BONNA AOMBA MIRADI DMDP
▶︎

MEYA WA DAR ALIVYOMBANA INJINIA UJENZI WA BARABARA JIMBO LA SEGEREA, MBUNGE BONNA AOMBA MIRADI DMDP

VIDEO:HILI NDILO DARAJA LA JUU (INTERCHANGE)LA KIJAZI-UBUNGO
▶︎

VIDEO:HILI NDILO DARAJA LA JUU (INTERCHANGE)LA KIJAZI-UBUNGO

SERIKALI YALETA MABADILIKO MAKUBWA KATIKA UJENZI WA BARABARA-MHANDISI BESTA
▶︎

SERIKALI YALETA MABADILIKO MAKUBWA KATIKA UJENZI WA BARABARA-MHANDISI BESTA

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania
▶︎

China Is Building East Africa's Largest Port in Tanzania

Exploring Dar es Salaam The Largest City in East Africa and Economic Powerhouse
▶︎

Exploring Dar es Salaam The Largest City in East Africa and Economic Powerhouse

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.
▶︎

MBUNGE WA KATAVI AVUNA PESA BUNGENI BAADA YA KUGONGA NONDO ZITO JUU YA UVUNJIFU WA MAADILI.