Farhia Elmy: Malkia wa bahari anayepiga mbizi akiwa na hijabu
Farhia Elmy ni mtaalamu wa sayansi ya bahari kutoka Tanzaniaanayejulikana kama "Hijab Diver'. Farhia hupiga Mbizi (Diving) akiwa amejistiri na kufanikiwa kivunja vikwazo vya kijinsia na kitamaduni katika fani ya sayansi ya baharini na upigaji mbizi. Licha ya changamoto na matarajio ya familia kuwa daktari wa binadamu, alichagua kufuata ndoto yake kuwa mtaalamu wa sayansi ya bahari. Leo, kupitia kampuni yake anatoa ajira kwa vijana na wanawake huku akihamasisha uhifadhi wa bahari. Amemsimulia mengi Martha Saranga katika WARIDI WA BBC. #bbcswahili #tanzania #hijabidiver Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

▶︎
Mkataba wa amani kati ya Marekani na Iran unahusisha nini? Katika Dira ya Dunia TV

▶︎
'Maumivu ya kunyang'anywa mtoto wangu yalinisukuma kuwa muongoza utalii'

▶︎
ALIYEKUWA ASKARI WA JWTZ ASIMULIA ALIVYOFUNGWA JELA MIAKA 9 KWA KUSINGIZIWA TUKIO LA UJAMBAZI UBUNGO

▶︎
FULL INTERVIEW: WAHADZABE WAFUNGUKA MENGI | HATUOGI WALA HATUPIGI MSWAKI | TUNAKULA NYANI NA NYOKA

▶︎
MTANZANIA ANAYEFUNDISHA MARUBANI CANADA, MAMA YAKE ASIMULIA ALIVYOTELEKEZWA “NIMETUMIA MIL.500”

▶︎
Madam Rita Afunguka Asili Yake Na Alipozaliwa "Nina Makabila Matatu" | SALAMA NA MADAM RITA PT 1

▶︎
'Watu hawaamini kwamba mimi ninaimba' Babu wa TikTok Tanzania

▶︎
CONGO DR WATASUMBULIWA NA UZOEFU KWENYE WORLD CUP, REAL MADRID WANAPASWA KUWA PROJECT YAO

▶︎
BAADA YA KUMWAMBIA MKEWE ARUDI NYUMBANI AKAPUMZIKE MKE AGOMA KURUDI/AOMBA TALAKA

▶︎
EXCLUSIVE NA KISHIMBA:SIRI YA UTAJIRI WANGU/ WATOTO WAFUNDISHWE KUTAFUTA HELA/SIJAWARITHISHA WANANGU

▶︎
Mkataba wa amani kati ya Marekani na Iran huenda ukasainiwa Jumapili huko Geneva.

▶︎
UTATA KIFO CHA KAWAWA/ALITOKA NYUMBANI MZIMA/ALINIOA NIKIWA NA WATOTO/TOFAUTI ZA FAMILIA ZILIKUWEPO

▶︎
I left a life of luxury in America, only to come and live in isolation in Kenya | Tuko TV

▶︎
MwanaFA: Jinsi Muziki ulivyomjenga/ Pressure Ya Umaarufu, Uongozi na Familia

▶︎
BILIONEA MULOKOZI AKUBALI KUSIMULIA KILICHOMTAJIRISHA "NILIANZA NA MTAJI WA MILIONI 20" - EPISODE 3

▶︎
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30

▶︎
KISA CHA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) | Maisha Yake Kutoka Kuzaliwa Hadi Kufariki | Sheikh Othman Maalim

▶︎
SAFARI YA MSUMBIJI, ILIVYOGEUKA SAFARI YA KIFO.../UCHAWI UPO JAMANI/MISITU..(REVIEW..2022)

▶︎
#LIVE: HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA WA UJENZI UWANJA WA KISASA WA YANGA

▶︎
