DARAJA NYANG'HWALE, KUPITA TSH 200, BODABODA SH 500, NAIBU WAZIRI SILINDE AAMBIWA YEYE KUPITA BURE
Wananchi wa Wilaya ya Nyang'hwale katika kijiji cha Manda Mkoa wa Geita, Omary Faida Madata pamoja na mbunge wa jimbo hilo,Hussein Nassor Amar, wameiomba serikali kuwajengea daraja jipya kufuatia daraja walilokuwa waakitumia kusombwa na maji wakati wa mvua za mwezi wa kwanza na kukata mawasiliano ya vijiji viwili vya wilaya jirani ya Geita na kuanza kutumia daraja la miti ambalo wanalazimika kulipia shilingi mia mbili kuvuka. Hayo wameyasema mbele ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI, David Silinde alipofika kukagua eneo hilo nakumweleza kuwa kwasasa wanateseka sana kwa kukosekana kwa daraja hilo na kusababisha kero kulipia kuvuka kwenda upande wa pili kufuata huduma za kijamii ikiwemo afya na shule kwa kutoa shilingi mia tano ilipikipiki zao zivuke sehemu ambayo pia ni hatarishi hasa wakielekea kipindi cha msimu wa mvua. Kwa upande wake Naibu waziri Silinde amemuagiza Meneja wa TARURA wilaya ya Nyang'hwale Benjamin Mkalava kuhakikisha ujenzi wa daraja unaanza mara moja haraka na ukamilike kabla ya msimu wa mvua kuanza kuwaondolea wananchi kero hiyo wanayoipata kwa zaidi ya miezi sita. Aidha Naibu Waziri Silinde ameongeza kuwa, ni aibu kwa wao viongozi kwa daraja kama hilo kutojengwa kwa zaidi ya miezi yote na kumtaka meneja wa TARURA akamikishe kwa wakati na akishindwa kukamilisha kwa wakati na hawata mwelewa na atamuagiza Mtendaji mkuu wa TARURA kufika eneo hilo kusimamia. "Mkishamaliza kujenga mniletee taarifa, mpige picha tuone watu wanapita, haiwezikani tuendelee kuiacha hivi tutakua tunamwangusha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na ilani ya CCM lazima itekeleze kwa vitendo karne ya 21watu hawezi kuwa wanapita katika miti mpaka sasa hivi kwakweli mimi sikubaliano nayo" amesema Silinde

KUTOKA UFUGAJI WA NG'OMBE HADI KUJENGA NYUMBA YA MILIONI 300 DC KINGALAME AFURAHISHWA

MTUMISHI KASWAHILI KATIKA KUITUMIKIA UVCCM NYANG'HWALE

Mbunge wa Nyang'hwale Hussein Nassor Aomba Muongozo Kuwepo Kwa Dawati la Kina Baba

MBUNGE NYANG'HWALE AINUA VIPAJI VYA SOKA DABI! KALI

MAMA AFARIKI DUNIA KWA KUSOMBWA NA MAFURIKO WILAYANI NYANG’HWALE

ANGALIA MBUNGE MUSUKUMA ALIVYOFIKISHWA MAHAKAMANI GEITA

CS Duale appears before parliament

MBUNGE NYANG'WALE AIBANA SERIKALI KUHUSU BARABARA

WACHIMBAJI WADOGO NYANG'HWALE WAMEINGILIA ENEO LA MWEKEZAJI SOTA MINE. (NYAZAGA)

MASWALI LUKUKI! YA WANANCHI KUHUSU KERO NYANG'HWALE NI KIJIJI KWA KIJIJI HADI RAHA

Polisi wasaidiana na Mkuu mpya wa Mkoa Geita kushika Sururu

NGUMU KUMEZA!!! MBUNGE NYANG’HWALE ADAI FIDIA ANAYEMCHAFUA KUHUSU MFUKO WA JIMBO.

LIVE: HOTUBA YA MKURUGENZI MTEMDAJI WA HALMASHAURI YA NYANG'HWALE BI HUSNA TONI

MTWARA YAFUNGUA FURSA MPYA KATIKA SEKTA YA CHUMVI-

NYANG'HWALE YAANZA KUKABILIANA NA UTAPIAMLO KWA KUJENGA WODI NA KUTOA ELIMU KWA WAGANGA WA JADI

Hard currency reits in Kenya | Business Redifined

BREAKING! SAMIA KUMNG'OA NCHIMBI PUNDE | HOJA YA KUTOKUWA NA IMANI NA MAKAMU KUWASILISHWA BUNGENI

Hotuba ya Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Nyang'hwale mbele ya Mohamed Kawaida, Apiga Nondo za Maana

Trump DEMANDS $350 BILLION for Pentagon and controversial “SAVE America Act"

