#TAZAMA| MUONEKANO WA NYUMBA 1,000 ZA NHC DODOMA, WANOGA
SERIKALI imetoa kibali Kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kukopa kiasi cha sh.bilion 173.9 kwa ajili ya kukwamua miradi iliyokwama katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Akizungumza na wandishi wa habari jana jijini Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk. Allan Kijazi kwa amesema kwa kuanzia tayari Shirika limeidhinishiwa na hazina mkopo wa shilingi bilion 44.7 ili kuendelea kazi ya kuifufua miradi hiyo. Dk.Kijazi ametaja miradi iliyokwama kuwa ni pamoja na mradi wa Kawe 711, Morocco Square na mradi wa Plot 300 regent Estate iliyopo Dar es salaam. Kuhusu mradi wa nyumba 1,000 unaotekelezwa na NHC Dodoma Dk.Kijazo amesema serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ilitoa mkopo nafuu wa sh. bilion 20 Kwa shirika ili zitumike kama mtaji ambao utatekelezwa Kwa Miaka 15. Amesema mkopo huo utalipwa kwa miaka 12 baada ujenzi wa mradi wa nyumba 1,000 kukamilika ambapo adhma ya serikali ni kuwezesha Shirika kujenga nyumba Dodoma ili kurahisisha upatikanaji wa makazi baada ya serikali kuhamishia shughuli zake. Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa NHC Dk. Maulid Banyani amesema shirika liliendesha operesheni maalumu Kwa wadaiwa sugu ambapo ilisaidia Shirika kukusanya sh. bilion 5 kati ya 27 inazodai kutoka Kwa wateja wake. Amesema operesheni hiyo itakuwa endelevu na sasa wanakuja na mfumo maalumu ambao utakusanya kodi kwa njia ya kisasa na mfumo huo upo katika majaribio katika nyumba za chamwino. Kuhusu mradi wa Kawe 711 Dk. Banyani alisema tayari mkandarasi yuko saiti anaendelea na kazi ndogo ndogo. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: / spotileo-176. . HabariLeo: / habarileo DailyNews: / dailynewstz INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

DODOMA: MUONEKANO WA MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI ZILIZOJENGWA NA NHC ENEO LA IYUMBU

ALICHOKISEMA IGP MSTAAFU SIRRO KUHUSU RPC ABWAO

MWANAMKE JASIRI WA KITANZANIA ALIYETAJIRIKA KWA UZEMBE MABOSS ZAKE SIRI YA MAFANIKIO YA MEY LOGISTIC

NHC YAZIDI KUFANYA MAKUBWA, BENKI 20 ZATANGAZA MSIMAMO KWENYE MRADI WA NYUMBA 1000 DODOMA

🔴 MAKALA INAYOHUSU UFUGAJI SAMAKI WA VIZIMBA #sautv #mwanza #documentaries

HII HAPA KAULI YA DKT. SAMIA KWA MABASI , KATIKA UZINDUZI WA TRENI YA SGR DAR - DOM

Norwegen – Frankreich Highlights | Gruppe I, FIFA WM 2026 | sportstudio

Kidumu arahishura ivyo umubano wiwe n'abagore bavyaranye | BBC News Gahuza

Man Cave 6: Pressure, Power and Purpose

FUMBA TOWN ZANZIBAR | MJI MPYA WA KISASA |

DODOMA: MRADI WA NYUMBA 1000

What do young Kenyans really want? - World Questions, BBC World Service

TAZAMA CHUO KIKUBWA CHA UFUNDI KILICHOJENGWA DODOMA..MAJENGO KUMI NA TISA NA FURSA ZAKE.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA WABUNIFU WADOGO WA MITAMBO YA KUFUA UMEME IKULU DSM

UTAUPENDA MJI WA SERIKALI MAGUFULI CITY UNAVYOJENGWA DODOMA IKULU WIZARA TAASISI NA BALOZI ZOTE HAPA

WAZIRI MKUU ANAFUNGUA KITUO CHA KISASA CHA SUPERDOLL

The Gallery of Ruto's Lies PART 1: Kenyans furious as Ruto’s promises turn into empty projects

Inside Malaysia’s Controversial Anti-Corruption Commission | Bloomberg Investigates

Will June 25th Protests Achieve Intended Purpose? | The Last Word

