JPM Amewataja Hadharani Matajiri Wanaoibia serikali

JPM Amewataja Hadharani Matajiri Wanaoibia serikali RAIS Dkt. John Magufuli amesema wapo wafanyabiashara wakubwa nchini ambao wamekuwa wakikwepa kodi kwa kupitia makontena wanayoingiza na wengine kupitia njia za mipakani kupeleka biashara zao nje ya nchi. Magufuli amesema hayo leo wakati akizungumza na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Wakuu wa Mikoa nchi nzima katika ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam na kusema majina yao anayo lakini anashangazwa na TRA kutochukua hatua sitahiki. “Nawataka TPA, TRA, polisi na Idara ya uhamiaji mjirekebishe, vipo vitendo vingi vya kukwamisha wawekezaji naomba mlifanyie kazi. TRA toeni adhabu kwa wakwepa kodi ilimradi msiwaonee na hili litakuwa rahisi tu endapo mtapunguza viwango vya kodi watakuja wenyewe kulipa. “Wapo watu wamekuwa wakikwepa kodi, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tarafa wote mpo. Wakati mwingine naonaga kidogo kwenye TV mmekamata watu, ila najua ile mnafanyajaga kujitangaza kuwa mpo, baada ya muda hali inarudi ile ile. “Mimi nina majina ya wafanyabiashara wa Kariakoo ambao wanaingiza bidhaa zao bila kulipa kodi kwenye mipaka yetu na wanashirkiana na vyombo vya dola nashangaa wakuu wa wilaya na mikoa hamuwajui. yupo mmoja jina linaishia na ‘AGENCY’, mwingine ‘O’. “Yupo mfanyabiashara kule Mwanza, halipi kodi na anapitisha magari hata 10 kwa siku moja. Wapo wafanyabiashara wengine wawili wao huleta makontena hadi 700 Kariakoo kwa mwak kisha wanawauzia wengine. Nashangaa TRA, RC Dar hamuwajui. #RAISMAGUFULI #TRA Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK https://www.youtube.com/watch?v=L4UGw...

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUWAAPISHA WAKUU WA MIKOA, MAKATIBU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU
▶︎

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUWAAPISHA WAKUU WA MIKOA, MAKATIBU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU

RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
▶︎

RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU

MAGUFULI AMVAA KICHERE, AMTAJIA MAKOSA ALIYOFANYA "NITAKUTUMBUA TENA"
▶︎

MAGUFULI AMVAA KICHERE, AMTAJIA MAKOSA ALIYOFANYA "NITAKUTUMBUA TENA"

TRA HATARINI | Wapewa TUMBO JOTO Mbele Ya JPM
▶︎

TRA HATARINI | Wapewa TUMBO JOTO Mbele Ya JPM

MAGUFULI AMSEMA WAZI WAZI KAMISHNA WA TRA ALIYEMTUMBUA
▶︎

MAGUFULI AMSEMA WAZI WAZI KAMISHNA WA TRA ALIYEMTUMBUA

Rais Magufuli afanya ziara ya ghafla Wizara ya fedha Nov. 6, 2015
▶︎

Rais Magufuli afanya ziara ya ghafla Wizara ya fedha Nov. 6, 2015

🔴#LIVE​​​​​​​​: MAGUFULI AONGEA kwa UCHUNGU Msibani kwa BALOZI KIJAZI, Asimulia ALIVYOFANYA Nae KAZI
▶︎

🔴#LIVE​​​​​​​​: MAGUFULI AONGEA kwa UCHUNGU Msibani kwa BALOZI KIJAZI, Asimulia ALIVYOFANYA Nae KAZI

RAIS MAGUFULI ALIVYO MFUKUZA MTU KAZI IKULU “MSUKUMA”
▶︎

RAIS MAGUFULI ALIVYO MFUKUZA MTU KAZI IKULU “MSUKUMA”

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG
▶︎

CAG MSTAAFU PROFESA ASSAD AFUNGUKA SABABU ZILIZOPELEKEA KUONDOLEWA KATIKA NAFASI YA CAG

HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ALIVYOWATUMBUA WAFANYAKAZI WA 3 WA TRA
▶︎

HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ALIVYOWATUMBUA WAFANYAKAZI WA 3 WA TRA

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA
▶︎

#BREAKING: WAZIRI KATAMBI APIGA STOP CCM - CHADEMA KUFANYA MIKUTANO - TISHIO LA MAANDAMANO SABASABA

"HUYU NDIYE MKUU wa USALAMA wa TAIFA TANZANIA - WALA SIMFICHI" - MAGUFULI...
▶︎

"HUYU NDIYE MKUU wa USALAMA wa TAIFA TANZANIA - WALA SIMFICHI" - MAGUFULI...

Kitu JPM amewaambiwa Wafanyabiashara baada ya kuwaita IKULU
▶︎

Kitu JPM amewaambiwa Wafanyabiashara baada ya kuwaita IKULU

Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam
▶︎

Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam

የፕሮፌሰር ብርሀኑ ነጋ ጥያቄ እና የጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አሕመድ (ዶ/ር) ምላሽ | Professor Birhanu Nega | Pm Abiy Ahmed |
▶︎

የፕሮፌሰር ብርሀኑ ነጋ ጥያቄ እና የጠቅላይ ሚኒስትር ዐቢይ አሕመድ (ዶ/ር) ምላሽ | Professor Birhanu Nega | Pm Abiy Ahmed |

Rais Magufuli aimbana TRA, Wizara ya Fedha, ataka majibu
▶︎

Rais Magufuli aimbana TRA, Wizara ya Fedha, ataka majibu

Rais Magufuli aagiza TRA kumlipa fidia mfanyabiashara aliyelazimishwa kutoa rushwa
▶︎

Rais Magufuli aagiza TRA kumlipa fidia mfanyabiashara aliyelazimishwa kutoa rushwa

Rais Magufuli aweka wazi Sababu za kuivunja bodi ya TRA
▶︎

Rais Magufuli aweka wazi Sababu za kuivunja bodi ya TRA

Rais Magufuli alivyompigia simu Makonda katikati ya mkutano
▶︎

Rais Magufuli alivyompigia simu Makonda katikati ya mkutano

MAGUFULI Atumbua Vigogo Watatu Ghafla mbele ya Waziri mkuu Aagiza wapelekwe Mahakamani haraka
▶︎

MAGUFULI Atumbua Vigogo Watatu Ghafla mbele ya Waziri mkuu Aagiza wapelekwe Mahakamani haraka