MAMBO MATANO (5) NILIYOJIFUNZA KWA KUWA MWALIMU

Mwalimu hafundishi tu, ni lazima awe na mtazamo wa kujifunza na kukubali kufanya maboresho katika maeneo anayojifunza. Katika video hii, ninakushirikisha mambo matano muhimu niliyojifunza kwa kuwa mwalimu — mambo ambayo yamebadilisha jinsi ninavyofundisha, jinsi ninavyohusiana na watu na kutumia kipaji changu vizuri zaidi. Haya ni masomo ambayo kila mwalimu anaweza kufaidika nayo. #Mwalimu #Ualimu #SkillfulScholars #ElimuTanzania #TeacherGrowth #MotivationForTeachers