WATALII WAFURIKA ZANZIBAR KUSHUHUDIA MASHINDANO YA KURUKA VISHADA

Katibu wa Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale, Mhe. Aboud Suleiman Jumbe, amehudhuria mashindano ya kuruka kwa vishada (kitesurfing) yaliyofanyika katika ufukwe wa Kiwengwa, Zanzibar.