Othman Masoud atema cheche kero za Muungano, aweka wazi msimamo wa ACT

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo, ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, ameuchambua muundo wa muungano uliopo na kueleza kinagaubaga msimamo wa chama chake katika jambo hilo. Akizungumza na wanachama pamoja na viongozi wa majimbo wa ACT Wazalendo huko Shangani Mkokotoni, Kaskazini Unguja, katika ufunguzi wa ziara za kujitambulisha na kuzungumza na wanachama wa chama wa mkoa wa Kaskazini A (kichama), Mheshimiwa Othman alisema “ili kuifikisha Zanzibar sehemu inayostahiki, wanachama wana wajibu wa kuendeleza mshikamano katika kusimamia dhamira hiyo.”

GUMZO MAALUM: Wazee wa Pemba ana kwa ana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
▶︎

GUMZO MAALUM: Wazee wa Pemba ana kwa ana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

Uchaguzi 2020 uliwashinda wakaamuwa kuuwa na kupiga watu,
▶︎

Uchaguzi 2020 uliwashinda wakaamuwa kuuwa na kupiga watu,

Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar leo afunua mengi yaliyo nyuma za pazia katika hotuba yake Pemba
▶︎

Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar leo afunua mengi yaliyo nyuma za pazia katika hotuba yake Pemba

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed
▶︎

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

🚨 SHOCK to Babu Owino Camp! Gachagua Drops a Chilling Nairobi Warning | Lee Makwiny
▶︎

🚨 SHOCK to Babu Owino Camp! Gachagua Drops a Chilling Nairobi Warning | Lee Makwiny

NTV AKAWUNGEEZI LIVE NTV AKAWUUNGEEZI STREAM NTV AMAWULIRE LIVE NTV NEWS
▶︎

NTV AKAWUNGEEZI LIVE NTV AKAWUUNGEEZI STREAM NTV AMAWULIRE LIVE NTV NEWS

ACT: JKT si chombo cha Muungano, tunapinga vijana wa Zanzibar kulazimishwa kujiunga kisa ajira
▶︎

ACT: JKT si chombo cha Muungano, tunapinga vijana wa Zanzibar kulazimishwa kujiunga kisa ajira

PLO Lumumba: Why Iran Is Winning the War Against Israel & the USA | Oil, China & Dollar Explained
▶︎

PLO Lumumba: Why Iran Is Winning the War Against Israel & the USA | Oil, China & Dollar Explained

LOP SSENYONYI ON THE CLOSURE OF NTV & DAILY MONITOR | Erias Lukwago | Ssemuju | Gen. Muhoozi | NTV
▶︎

LOP SSENYONYI ON THE CLOSURE OF NTV & DAILY MONITOR | Erias Lukwago | Ssemuju | Gen. Muhoozi | NTV

MAX AFUNGUKA  ALICHOKIONA KWA PACOME UWANJANI
▶︎

MAX AFUNGUKA ALICHOKIONA KWA PACOME UWANJANI

BARAKA MPENJA "AZIZ KI AMELIA BAADA YA PACOME KUUMIA/SIMBA MSIMU UJAO ANABEBA UBINGWA
▶︎

BARAKA MPENJA "AZIZ KI AMELIA BAADA YA PACOME KUUMIA/SIMBA MSIMU UJAO ANABEBA UBINGWA

OMO LEO ATEMA CHECHE KIEMBESAMAKI, AWEKA WAZI KINACHOELENDELA ZANZIBAR KWENYE SAKATA LA GNU
▶︎

OMO LEO ATEMA CHECHE KIEMBESAMAKI, AWEKA WAZI KINACHOELENDELA ZANZIBAR KWENYE SAKATA LA GNU

LOP Joel Ssenyonyi Responds to Gen Muhoozi
▶︎

LOP Joel Ssenyonyi Responds to Gen Muhoozi

Makamu wa Kwanza wa Rais Mhe.Othman, aweka saini katika kitabu cha Maombolezo ya kifo cha Malkia
▶︎

Makamu wa Kwanza wa Rais Mhe.Othman, aweka saini katika kitabu cha Maombolezo ya kifo cha Malkia

MAKALA YA MABORESHO YA BANDARI YA MALINDI
▶︎

MAKALA YA MABORESHO YA BANDARI YA MALINDI

UTENZI WA MAZISHI YA MALIM SEIF
▶︎

UTENZI WA MAZISHI YA MALIM SEIF

MARIASPACES: SIRI IMEVUJA MIPANGO YA ULINZI MAANDAMANO77 WANAHARAKATI WATOA MSIMAMO(MWIGULU,KATAMBI)
▶︎

MARIASPACES: SIRI IMEVUJA MIPANGO YA ULINZI MAANDAMANO77 WANAHARAKATI WATOA MSIMAMO(MWIGULU,KATAMBI)

Mkutano wa Chama Cha Wananchi CUF NUNGWI; 14 Oktoba 2012
▶︎

Mkutano wa Chama Cha Wananchi CUF NUNGWI; 14 Oktoba 2012

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amewasili Mkoani Ruvuma
▶︎

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amewasili Mkoani Ruvuma

Sikiliza utenzi mwanana wa ACT Wazalendo
▶︎

Sikiliza utenzi mwanana wa ACT Wazalendo