Othman Masoud atema cheche kero za Muungano, aweka wazi msimamo wa ACT
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo, ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, ameuchambua muundo wa muungano uliopo na kueleza kinagaubaga msimamo wa chama chake katika jambo hilo. Akizungumza na wanachama pamoja na viongozi wa majimbo wa ACT Wazalendo huko Shangani Mkokotoni, Kaskazini Unguja, katika ufunguzi wa ziara za kujitambulisha na kuzungumza na wanachama wa chama wa mkoa wa Kaskazini A (kichama), Mheshimiwa Othman alisema “ili kuifikisha Zanzibar sehemu inayostahiki, wanachama wana wajibu wa kuendeleza mshikamano katika kusimamia dhamira hiyo.”

▶︎
GUMZO MAALUM: Wazee wa Pemba ana kwa ana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

▶︎
Uchaguzi 2020 uliwashinda wakaamuwa kuuwa na kupiga watu,

▶︎
Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar leo afunua mengi yaliyo nyuma za pazia katika hotuba yake Pemba

▶︎
China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

▶︎
🚨 SHOCK to Babu Owino Camp! Gachagua Drops a Chilling Nairobi Warning | Lee Makwiny

▶︎
NTV AKAWUNGEEZI LIVE NTV AKAWUUNGEEZI STREAM NTV AMAWULIRE LIVE NTV NEWS

▶︎
ACT: JKT si chombo cha Muungano, tunapinga vijana wa Zanzibar kulazimishwa kujiunga kisa ajira

▶︎
PLO Lumumba: Why Iran Is Winning the War Against Israel & the USA | Oil, China & Dollar Explained

▶︎
LOP SSENYONYI ON THE CLOSURE OF NTV & DAILY MONITOR | Erias Lukwago | Ssemuju | Gen. Muhoozi | NTV

▶︎
MAX AFUNGUKA ALICHOKIONA KWA PACOME UWANJANI

▶︎
BARAKA MPENJA "AZIZ KI AMELIA BAADA YA PACOME KUUMIA/SIMBA MSIMU UJAO ANABEBA UBINGWA

▶︎
OMO LEO ATEMA CHECHE KIEMBESAMAKI, AWEKA WAZI KINACHOELENDELA ZANZIBAR KWENYE SAKATA LA GNU

▶︎
LOP Joel Ssenyonyi Responds to Gen Muhoozi

▶︎
Makamu wa Kwanza wa Rais Mhe.Othman, aweka saini katika kitabu cha Maombolezo ya kifo cha Malkia

▶︎
MAKALA YA MABORESHO YA BANDARI YA MALINDI

▶︎
UTENZI WA MAZISHI YA MALIM SEIF

▶︎
MARIASPACES: SIRI IMEVUJA MIPANGO YA ULINZI MAANDAMANO77 WANAHARAKATI WATOA MSIMAMO(MWIGULU,KATAMBI)

▶︎
Mkutano wa Chama Cha Wananchi CUF NUNGWI; 14 Oktoba 2012

▶︎
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amewasili Mkoani Ruvuma

▶︎
