Mgambo ashushiwa kipigo na machinga kisa matikiti, akimbilia kanisani
Askari wa Jeshi la Akiba maarufu kama 'mgambo' ambaye jina lake halikutambulika amekimbilia kanisani kunusuru maisha yake baada ya kushushiwa kipigo na wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga. Tukio hilo limetokea leo Jumatano Julai 10,2024, eneo la Soko la Buhongwa jijini Mwanza, wakati kikosi kazi hicho cha mgambo kilipokuwa kikikamata matunda ya machinga wanaofanya biashara katika eneo hilo. Mwananchi imefika eneo la tukio saa 3:20 na kukuta umati wa machinga wakiwa wamezingira uzio wa Kanisa Katoliki Kigango cha Buhongwa wakishinikiza mgambo huyo atolewe nje ili waendelee kumshushia kipigo kwa kile wanachodai ni kuchoshwa na tabia ya mgambo hao kuwanyang’anya na kuharibu bidhaa zao. Akisimulia mkasa uliomkumba mgambo huyo, machinga katika eneo hilo, Abdallah Mohammed amesema kikosi kazi hicho kimewasili Buhongwa saa 3:00 asubuhi ya leo na kuanza kuchukua matikiti na mananasi ya mfanyabiashara eneo hilo ndipo kikazingirwa na machinga na kuanza kushushiwa kipigo. Soma zaidi www.mwananchi.co.tz

DC MAGOTI ASHTUKIZA MSIKITI UNAOLAZA WATOTO 90+ “NAWAPA SAA 24 FUNGENI KITUO, WATOTO WARUDI KWAO”

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

ULITUKANA WAKALENJIN UKATUITA WAUWAJI, 2027 TUTAKUFUNZA DAWA!Aldai MP hits Gachagua below the belt

I Visited the African Country You've Never Heard Of 🇸🇹 (São Tomé & Príncipe)

Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa. Katika Dira ya Dunia TV

Breaking: Biggest Blow to Ruto as He Is Rejected at Church!

AHMED ALLY AFUNGUKIA PAREDI LA UBINGWA, JANGWANI IILIVYOUMIZWA KUIFUNGA SINGIDA, MUDA WOWOTE ITAKUFA

KAMATI ya ULINZI KISARAWE YASHTUKIZA USIKU MNENE KWENYE MSIKITI UNAOLAZA WATOTO 156 -''WARUDI KWAO''

THIS MAN GACHAGUA❗How Gachagua Beat Ruto,Murkomen & NIS Olkalou Arrest Plot On Him In A Genius Move

RC CHALAMILA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WAKUBWA NA MACHINGA, AAGIZA KUUNDWA KWA KAMATI

From 0 to 276 homes: Allan Mutuma’s game-changing moves | Property Focus with PJ Ngigi

My husband nî Pastor no anyingatire na 3 kids akîhikia kairîtu ka mûtumia mekaga huduma nake.

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

Ajali:Sita wanusurika kifo,Lori likfeli breki Moshi!

"LITAFTENI GARI LAKE MLILETE" WAZIRI MKUU AWAKA Gari la Mwananchi Kukamatwa na TRA Dodoma

AFRIKA YAFANYA MAAJABU 'SHARPNESS' YA MAYELE KOMBE LA DUNIA, WASAUZI DIMBANI LEO UCHAMBUZI WA NAHEKA

ANAPOISHI MTU MZIMA MWENYE MWILI WA MTOTO/WANANISHANGAA/MIMI NI ENGINEER WA UMEME

Pakistani Truck Parts Repair with a Master Mechanic Amazing Restoration

Afghan most Famous Kabuli Pulao | Pakistani Karahi | Biryani recipe | Roasted chicken | Street food

