UJUMBE MZITO WA ACP MWAKIBIBI WAKATI AKIWAAGA ASKARI SEGEREA

Wakati Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiadhimisha Miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba ya Januari 12 1964 Askari Magereza Nchini wametakiwa Kufanya kazi kwa Mujibu wa taratibu kanuni na Sheria za Jeshi hilo bila kumuonea au Kumdhalilisha Mhalifu Nelson Munema ameandaa Taarifa ifuatayo..... Wito huo umetolewa na Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Magereza ACP Gibson Mwakibibi wakati wa Hafla Ya Kumuaga Baada ya Kumaliza utumishi wake wa Mkuu wa Gereza la Mahabusu Segerea Jijini Dar es salaam na kuhamishiwa Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dodoma ambapo amesema Uzingatiwaji wa Maadili ya Kijeshi umesaidia zoezi la Urekebu kwa Mahabusu kufanikiwa kwa kiasi Kikubwa ACP GIBBON MWAKIBIBI Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Magereza Naye Mkuu mpya wa Gereza la Mahabusu la Segerea Kamishna Msaidizi Hamis Ngaukia amesema ataendeleza yote mema yalifanywa na ACP Mwakibibi ili kuboresha Gereza hilo HAMIS NGAUKIA Mkuu wa Gereza la Mahabusu Segerea

X-ACP MWAKIBIBI AZIKWA WATU WENGI WAKIMLILIA
▶︎

X-ACP MWAKIBIBI AZIKWA WATU WENGI WAKIMLILIA

WAFUNGWA 40 WAKIWA GEREZA KUU LA KISONGO ARUSHA WAFUATWA NA MKUU WA MAGEREZA, "STADI ZA MAISHA"
▶︎

WAFUNGWA 40 WAKIWA GEREZA KUU LA KISONGO ARUSHA WAFUATWA NA MKUU WA MAGEREZA, "STADI ZA MAISHA"

The Story Book : Mikasa Ya Uasi Na Ukatili wa Joseph Kony wa Uganda (PART 1)
▶︎

The Story Book : Mikasa Ya Uasi Na Ukatili wa Joseph Kony wa Uganda (PART 1)

RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA
▶︎

RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA

#Mubashara NIDA TANZANIA's Live broadcast: Fuatilia Matangazo ya Moja kwa moja kutoka Bungeni Dodoma
▶︎

#Mubashara NIDA TANZANIA's Live broadcast: Fuatilia Matangazo ya Moja kwa moja kutoka Bungeni Dodoma

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera
▶︎

Fatou Bensouda on Israeli threats against her and the ICC | Talk to Al Jazeera

The Match That Made Brazilians Hate Germany
▶︎

The Match That Made Brazilians Hate Germany

Ethiopia | The Most Dangerous Train in the World | Deadliest Roads
▶︎

Ethiopia | The Most Dangerous Train in the World | Deadliest Roads

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa
▶︎

Jaji Warioba Aongea: Ripoti ya Chande, Maridhiano, Katiba, Aonya Kuzuia Mawazo: Watanzania Wanaogopa

What I discovered about BURUNDI 🇧🇮 (and nobody talks about it)
▶︎

What I discovered about BURUNDI 🇧🇮 (and nobody talks about it)

June 3, 2026 | Memorial of St. Charles Lwanga & Companions, Martyrs | Kapamilya Daily Mass
▶︎

June 3, 2026 | Memorial of St. Charles Lwanga & Companions, Martyrs | Kapamilya Daily Mass

Trump Crashes the NBA Finals Party, Throws Unhinged Tantrum on Meet the Press: A Closer Look
▶︎

Trump Crashes the NBA Finals Party, Throws Unhinged Tantrum on Meet the Press: A Closer Look

FULL ADDRESS: Pope Leo XIV Delivers Powerful Message to Thousands at Bernabéu Stadium in Madrid|AK1N
▶︎

FULL ADDRESS: Pope Leo XIV Delivers Powerful Message to Thousands at Bernabéu Stadium in Madrid|AK1N

When Animals Surprise Photographers in the Sweetest Way! 😍
▶︎

When Animals Surprise Photographers in the Sweetest Way! 😍

Wike, Soldiers Face-Off Over Land Issues In Abuja
▶︎

Wike, Soldiers Face-Off Over Land Issues In Abuja

"Africa Is DONE Being Exploited" — African Presidents Speak Out | Africa CEO Forum 2026
▶︎

"Africa Is DONE Being Exploited" — African Presidents Speak Out | Africa CEO Forum 2026

Trump storms out—retreat under pressure or savvy politics?
▶︎

Trump storms out—retreat under pressure or savvy politics?

SNC 2026 : arrivée du Président du Faso, le Capitaine Ibrahim Traoré au stade Sangoulé Lamizana
▶︎

SNC 2026 : arrivée du Président du Faso, le Capitaine Ibrahim Traoré au stade Sangoulé Lamizana

Current Senate Standing Order Precludes Sen. Akpabio from Being Senate President - Oshiomhole
▶︎

Current Senate Standing Order Precludes Sen. Akpabio from Being Senate President - Oshiomhole

"NO MORE WAITING": Arab Nations Push UN For 'Consequences' Against Israel | Watch
▶︎

"NO MORE WAITING": Arab Nations Push UN For 'Consequences' Against Israel | Watch