Usifanye Mambo Haya Saba ( 7) Mungu Hapendi/ Ni Chukizo mbele Za Mungu

Ukisoma Kitabu cha mithali 6:16-19 utaona mambo 7 ambayo ni chukizo mbele za Mungu. Na kama unafanya mambo hayo tubu umrudie Mungu wako na amua kuacha Kabisa. #maombiyausiku #maombi #mistari #maombi