DKT. TULIA: HAKUNA KIUMBE KINAWEZA KUSHINDANA NA DKT. SAMIA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, leo Septemba 17, 2025 amezindua rasmi kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Ikungi Magharibi, mkoani Singida, na kumnadi Mgombea Ubunge wa jimbo hilo, Elibariki Kingu. Akihutubia katika mkutano wa Kampeni uliofanyika Kata ya Sepuka, Dkt. Tulia ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, amesema kwa sasa haoni mtu yeyote nchini Tanzania mwenye uwezo wa kushindana na Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, licha ya kuwepo kwa baadhi ya watu waliotangaza nia ya kuwania nafasi hiyo ya Uongozi. "Kuna watu waliojitokeza wakisema nao wana jambo la kuwaambia wananchi, lakini jambo la dhahiri ni kwamba hakuna kiumbe yeyote kwa sasa ndani ya nchi anayeweza kushindana na Dkt. Samia Suluhu Hassan," amesema Dkt. Tulia. Kwa upande wake, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ikungi Magharibi, Elibariki Kingu, alibainisha kuwa maendeleo makubwa yaliyotekelezwa katika kipindi kilichopita ndiyo msingi wa kukubalika kwake kwa wananchi. Aliongeza kuwa wingi wa watu wanaohudhuria mikutano yake ni ushahidi kwamba wanajitokeza kwa hiari bila kushinikizwa wala kupewa hongo.

MARIDHIANO YA ACT NA CCM YAWAIBUA CHADEMA “WAJE WASULUHISHI WA KIMATAIFA”
▶︎

MARIDHIANO YA ACT NA CCM YAWAIBUA CHADEMA “WAJE WASULUHISHI WA KIMATAIFA”

NO MORE HIDING! RIGATHI EXPOSES THE EVIL PLAN OF BETTY MAINA AND ERIC WAMUMBI IN OLKALAU!
▶︎

NO MORE HIDING! RIGATHI EXPOSES THE EVIL PLAN OF BETTY MAINA AND ERIC WAMUMBI IN OLKALAU!

Ayatollah Ali Khamenei azikwa, Marekani ikisema itaishambulia vikali Iran. Katika Dira ya Dunia TV.
▶︎

Ayatollah Ali Khamenei azikwa, Marekani ikisema itaishambulia vikali Iran. Katika Dira ya Dunia TV.

Msikilize Tundu Lissu Akipinga Ombi la Ahirisho la Kesi Yake Dhidi ya Wakili wa Serikali - 2
▶︎

Msikilize Tundu Lissu Akipinga Ombi la Ahirisho la Kesi Yake Dhidi ya Wakili wa Serikali - 2

Angry KINDIKI Explodes on Farouk as Statehouse Clash Expose Ruto Crisis
▶︎

Angry KINDIKI Explodes on Farouk as Statehouse Clash Expose Ruto Crisis

2026 STATE OF THE NATION ADDRESS BY PRESIDENT JOHN DRAMANI MAHAMA
▶︎

2026 STATE OF THE NATION ADDRESS BY PRESIDENT JOHN DRAMANI MAHAMA

HAPATOSHI MBEYA SUGU AMVAA TULIA KWENYE MKUTANO"HAJUI MATATIZO YA WANANCHI"
▶︎

HAPATOSHI MBEYA SUGU AMVAA TULIA KWENYE MKUTANO"HAJUI MATATIZO YA WANANCHI"

LISSU ANAONEWA KESI YAKE NI AIBU KWA TAIFA "HAKUNA GAIDI MMOJA WA TAIFA"
▶︎

LISSU ANAONEWA KESI YAKE NI AIBU KWA TAIFA "HAKUNA GAIDI MMOJA WA TAIFA"

Mnyika Amjibu Samia Kuhusu Wanaharakati “Hakuna Maridhiano, Kuna Vita Dhidi ya Wanaharakati
▶︎

Mnyika Amjibu Samia Kuhusu Wanaharakati “Hakuna Maridhiano, Kuna Vita Dhidi ya Wanaharakati

MBAYAHAGA Avuze Uko M23 Yabaye IGIHUGU mu MINEMBWE//N’Agashavu Kuri KONGOLO Kwicisha Abanyamulenge😡
▶︎

MBAYAHAGA Avuze Uko M23 Yabaye IGIHUGU mu MINEMBWE//N’Agashavu Kuri KONGOLO Kwicisha Abanyamulenge😡

BALAA! MBOWE AKINUKISHA UYOLE MBEYA, AWATAKA WANANCHI KUIVUNJA VUNJA CCM BILA HURUMA UCHAGUZI HUU
▶︎

BALAA! MBOWE AKINUKISHA UYOLE MBEYA, AWATAKA WANANCHI KUIVUNJA VUNJA CCM BILA HURUMA UCHAGUZI HUU

BALAA! MZEE WA CHADEMA MBEYA AUWASHA MOTO MBELE YA LISSU NA HECHE, AWATWANGA CCM BILA HURUMA
▶︎

BALAA! MZEE WA CHADEMA MBEYA AUWASHA MOTO MBELE YA LISSU NA HECHE, AWATWANGA CCM BILA HURUMA

JOHN HECHE AVUNJA UKIMYA KWA WITO WA MICHANGO WA BARAZA KUU LA CHADEMA
▶︎

JOHN HECHE AVUNJA UKIMYA KWA WITO WA MICHANGO WA BARAZA KUU LA CHADEMA

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥
▶︎

“You’ll Never Be Like Us.” Until 500KG Happened 🔥

DAKIKA 12 ZA BALAA LA MWAMBIGIJA AKIWA KIWILA RUNGWE //AKIWASIMANGA CCM HADHARANI
▶︎

DAKIKA 12 ZA BALAA LA MWAMBIGIJA AKIWA KIWILA RUNGWE //AKIWASIMANGA CCM HADHARANI

MARIASPACES :LEMA,SUGU WAFIKA BEI NA CCM MARIDHIANO WAMKANA HECHE,KAULI YA KATAMBI KUFELI MAANDAMANO
▶︎

MARIASPACES :LEMA,SUGU WAFIKA BEI NA CCM MARIDHIANO WAMKANA HECHE,KAULI YA KATAMBI KUFELI MAANDAMANO

The Best Western Opening Scene Ever
▶︎

The Best Western Opening Scene Ever

TAKWA LA KIKATIBA, MUDA SI MREFU TUTAPATA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA MBETO
▶︎

TAKWA LA KIKATIBA, MUDA SI MREFU TUTAPATA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA MBETO

Mbarikiwa Amuwakia Christina Shusho "Huo Ni Umalaya...."
▶︎

Mbarikiwa Amuwakia Christina Shusho "Huo Ni Umalaya...."

Only Pakistani Mechanics Can Repair This Giant Caterpillar Loader Tire
▶︎

Only Pakistani Mechanics Can Repair This Giant Caterpillar Loader Tire