PEKEYETU HATUWEZI BY Mbeya Adventist Secondary School ASSA Choir

Shule Hii ina Kidatu cha Kwanza hadi cha nne na inaendeshwa na Kanisa la Waadventista wa Sabato Jimbo la nyanda za juu kusini na ni Moja kati ya Shule Bora sana katika Jiji la Mbeya na ipo katika Maeneo ya Forest. Shule hii ni ya kutwa na Bweni KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NO. +255763797476