WAHAMIAJI 76 WA BURUNDI, RWANDA WAKAMATWA KAGERA
Jeshi la Polisi katika mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na Idara ya Uhamiaji mkoani humo, limeendesha msako maalum kwenye maeneo ya barabara Kuu ya kutoka Nyakahula hadi Nyakanazi iliyoko wilayani Biharamulo na kufanikiwa kuwakamata raia 76 wa kigeni kutoka nchi za Burundi na Rwanda walioingia nchini kwa kutumia vipenyo vilivyoko mpakani. Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Blasius Chatanda amebainisha haya wakati akiwaonyesha raia wa kigeni waliokamatwa kufuatia msako huo, ambapo raia wa nchi ya Burundi waliokamatwa ni 73 na raia wa nchi ya Rwanda ni watatu. Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel : http://bit.ly/itvtanzania Facebook : https://bit.ly/2KeQNl3 Twitter : https://bit.ly/2XG7aii Instagram : https://bit.ly/34KItmg

WAHAMIAJI WASIO HALALI ZAIDI YA 100 WAKAMATWA KAGERA, WENGINE WAPEWA SIKU 7 KUONDOKA, MMOJA AJITETEA

WAHAMIAJI HARAMU 2000 WAKAMATWA KAGERA

#UHAMIAJI KAGERA YAKAMATA WAHAMIAJI HARAMU 52 WAKIINGIA NCHINI KINYEMELEA

No One Will Ever Find This Hidden Underground Fortress! | Start to Finish

THE HOUSEMAIDS AUDITION | MR MACARONI | MUMMY WA | PRETTY PLAY | TRINITY UGONABO | SOPHIE

Is CDF Muhoozi the untouchable law breaker?

"Uwanja wa Amahoro:Fahari ya Rwanda"

PRESIDENT PAUL KAGAME AHUYE NUWATEGUYE IBITERO BYU BURUNDI KURWANDA NJYE NAJE GUTERA URWANDA BARANDA

IKI GITONDO LE 29/6/2026 IBY'U RWANDA,BURUNDI NA CONGO BIRAHINDUTSE,DORE IBYO M23 NA UGANDA BAKOZE..

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI, JUNI 29, 2026

Pakistani Mechanics Build Heavy Truck Dump Trailer | Amazing Manufacturing Process

POLISI: HAKUNA KONTENA LA SILAHA LILILOINGIA NCHINI

China’s Giant Cassava Flour Factory Exposed

How Toilet Bowls Are Made | Amazing Toilet Bowl Manufacturing Process in Pakistan

🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU- 26 NOVEMBA 2025-WANAOVUNJA SHERIA BARABARANI WAWEKWA MTEGONI

EXCLUSIVE: KIWANDA CHA MAGARI YA VOLKSWAGEN RWANDA, WANATUMIA MAGARI YA UMEME MTAANI

ASKARI ALIYEOKOA MAISHA YA DEREVA BODABODA APONGEZWA NA KAMANDA WA JESHI LA POLISI MBEYA

🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55 - JUNI 29, 2026

Most Cheap Street food in Afghanistan | Kabuli pulao, Roasted Chicken, Biryani recipe, Punjabi Curry

